Tanzania losing DRC to Kenya

Warning shots fired. The just elected President of DRC is a Kenyaphile. Tanzanian diplomats liangalieni hili msikubali DRC, a long time ally of Tanzania, iingie kwenye sphere of influence ya Kenya!

Kwa regime hii?

Forget that!

Hakuna maarifa hayo,watu wapo busy kupambana na Lissu!

Yaani the whole regime has gone to war with a crippled Lissu,yaani kiwete Lissu!

Can you imagine that sir?
 
yaani hapo hamna shida kabisa ktk maswala ya biashara na siasa za kiafrica ni kawaida sana nchi moja kuopt kufanya biashara na nchi zaidi ya moja no problem at all wala wakenya hamtasikia Tz imekufa njaa sababu ya izo mambo NEVER ever
 
Warning shots fired. The just elected President of DRC is a Kenyaphile. Tanzanian diplomats liangalieni hili msikubali DRC, a long time ally of Tanzania, iingie kwenye sphere of influence ya Kenya!
Nyie ndio madalali wa vita na migogoro.
Vita za Vietnam na Korea zisingekuwepo kama sio mawazo kama haya.
 
Warning shots fired. The just elected President of DRC is a Kenyaphile. Tanzanian diplomats liangalieni hili msikubali DRC, a long time ally of Tanzania, iingie kwenye sphere of influence ya Kenya!
Si hivyo, Rais Kenyatta ndo alikua Rais pekee aliehudhuria kuapishwa kwake, kwahivyo alikua anaregesha Asante ndo maana nchi ya pili kuitembelea kama raisi ilikua ni Kenya..
Tshisekedi is in the country for talks with his host President Uhuru Kenyatta, who was the only African leader at his inauguration in Kinshasa.

Kati ya makubaliano ni kwamba kenya itawasaidia kufundisha wafanyikazi wa serikali (civil Servants) pale Kenya School of Government...











Pia alifanya mkutano Raila Odinga ambaye ndo AU rep for Infrastructure

Held talks with President Felix Tshisekedi of the DRC who is visiting the country focusing on areas of mutual interest and cooperation with a particular emphasis on the role of infrastructure in development on the continent.

 
Bros.why do you entertain unhealthy discussion , Drc has many oppoturnites than you can think ,mombasa and Dar arn't enough to supply DRC.for those who have ever cross kasumbalesa border (zambia and Drc)will understand the demand of Drc.
 
So this is shekedishekedi… he's so handsome!
Hakai kuwa na roho mbaya kama mchoma vifaranga
 
So this is shekedishekedi… he's so handsome!
Hakai kuwa na roho mbaya kama mchoma vifaranga

Hahahahahaa

Mchoma Vifaranga yupo confused mama,tumuonee huruma tu!

Kuna siku tutapata rais mzuri tutapiga hatua tuivuke Kenya,nyie subirini tu!

Kwa probability tulionayo so far kuna siku tunaweza angukia kwa Lee Kuan Yew wa Kitanzania hapa mkashangaa!

We are so in trouble in such a way tunakaribia kutoboa!

Wait and see Jeni!
 
Heheee I heard mchoma vifaranga is doing more than enough.Some even say anafaa kuongoza milele! This habit of idolizing leaders imepitwa na wakati
 
So this is shekedishekedi… he's so handsome!
Hakai kuwa na roho mbaya kama mchoma vifaranga
siku mtayowajua vizuri wakongomani hamtaamini tabia zao.hivi mlishajiuliza kwanini hawapakii container zao kwenye treni ya tazara hali kuna connection toka kapilimposhi hadi kwao.Zambia haikubali kupakia container kwenda drc sababu hawarudishi behewa zikienda kwao mpaka mwaka.
 
Heheee I heard mchoma vifaranga is doing more than enough.Some even say anafaa kuongoza milele! This habit of idolizing leaders imepitwa na wakati

Mchoma vifaranga huyu huyu tunaemjua?

Acha utani Jeni!

Yule jamaa ni hasara tupu!

Tunataka amalize 2020 yake arudi kupumzika..Akikomaa sana 2025 ndio mwisho lazima akapumzike kwa lazima!

Yule bwana hafai hata kwa bure!
 
So this is shekedishekedi… he's so handsome!
Hakai kuwa na roho mbaya kama mchoma vifaranga
hehe mchoma vifaranga!
BTW Ushawahi kufwata twitter handle yake, kila siku anatoa pole kwa ajali/vifo vilivyofanyika nchi zengine na hata ha tag/mention relevant authorities/officials wa hizo nchi kwahivyo hata hao anaowaongelea hawajui kama walitajwa..
 
Mbona unajichanganya mzee, hapohapo unakiri watz Wako south africa na Msumbiji, hapohapo unasema wamezubaa, sasa hao watz huko wanaenda kufanyaje, Kuhubiri injili? Njaa inakuchanganya Dingi Unazeeka vibaya
Dingi lawmaina itakua jobless inamchanganya,maana aeleweki anachoongea
 
Mchoma vifaranga huyu huyu tunaemjua?

Acha utani Jeni!

Yule jamaa ni hasara tupu!

Tunataka amalize 2020 yake arudi kupumzika..Akikomaa sana 2025 ndio mwisho lazima akapumzike kwa lazima!

Yule bwana hafai hata kwa bure!
Hahaha we' jamaa bana. Kwani huyu rais alikufanyia nini?Unatamani tu atoke madarakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…