Tanzania maisha rahisi sana

bei za vyakula hupanda Kutokana na msimu Kwan mwaka huu huu hadi mwezi wa nane unga kilo ilikuwa NI 650 imepanda Kutokana na uhitaj mkubwa wa bidhaa sokon... Wakenya wanaitaka, Zimbabwe wanaitaka, Malawi wanaitaka kwa nn isipande
Manake sio kw ile mishahara yenu...nineamini sasa km maisha bongo ni magumu...

Bidhaa zimepanda bei mishahara magu kabana kuipandisha...vyuma vitaendelea kukaza nakwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…