Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Lengo la huu uzi ni kuupitia mpango wa maendeleo wa Tanzania kisha kuanza kuangalia ulinganifu wa mpango wa maendeleo wa ndugu zetu wakenya.
Ushindani lazima uwepo na tuweze kuona ni nani wenye vision pana kati ya Tanzania na Kenya. Lengo kuu likiwa ni kuonesha ushindani uliopo kati yetu wenye lengo kuu la kuwaletea maendeleo raia wetu.
Msingi wa thread hii upo katika mapendekezo na mpango wa maendeleo wa tanzania. Ingefaa zaidi ndugu zetu toka Kenya wakaweka na wao ili tuweze kulinganiasha.
Katika uzi huu nitauvunjavunja mpango wetu wa maendeleo na kuruhusu tuweze kujadili kipengere kwa kipengere.
Sitapenda kuwepo na mihemko isiyokuwa na tija. Ningependa tujadili kwa kina ili mwisho wa siku tuonekane ni watu wenye akili timamu na tuwenze kuenzi mtandao huu unaoelezea kuwa sisi humu ndani ni GT.
Ninaambatanisha PDF file lilo na mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa Tanzania.
Hata hivyo unaweza ukatembelea tovuti ya mipango hapa: http://www.mipango.go.tz/
Utajipatia maelezo mengi na kupata taarifa nyingi za kupakua.
Ushindani lazima uwepo na tuweze kuona ni nani wenye vision pana kati ya Tanzania na Kenya. Lengo kuu likiwa ni kuonesha ushindani uliopo kati yetu wenye lengo kuu la kuwaletea maendeleo raia wetu.
Msingi wa thread hii upo katika mapendekezo na mpango wa maendeleo wa tanzania. Ingefaa zaidi ndugu zetu toka Kenya wakaweka na wao ili tuweze kulinganiasha.
Katika uzi huu nitauvunjavunja mpango wetu wa maendeleo na kuruhusu tuweze kujadili kipengere kwa kipengere.
Sitapenda kuwepo na mihemko isiyokuwa na tija. Ningependa tujadili kwa kina ili mwisho wa siku tuonekane ni watu wenye akili timamu na tuwenze kuenzi mtandao huu unaoelezea kuwa sisi humu ndani ni GT.
Ninaambatanisha PDF file lilo na mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa Tanzania.
Hata hivyo unaweza ukatembelea tovuti ya mipango hapa: http://www.mipango.go.tz/
Utajipatia maelezo mengi na kupata taarifa nyingi za kupakua.