This guyz kwani kila kitu hua wanafanya sababu ya kenya?......sababu hata wakijenga barabara ya 2km wanatuletea hapa tuoneNashangaa pia! Mbona mleta mada asiweke Uzi huu kwa Tanzania news section. Huko ndiko anaweza hamazisha wenzake na mipango ya viwonder ili wajipange.
Haisaidii Mkenya hii.
Hospitali ya Taifa Muhimbili:
kukamilika kwa ukarabati na upanuzi wa vyumba 7 vya upasuaji na kuongeza idadi ya vyumba kufikia 20 katika jengo kuu la upasuaji; kukamilika kwa ukarabati wa vyumba vinne (4) vya upasuaji katika jengo la watoto pamoja na kuweka mfumo wa hewa medical gas piping; kununuliwa kwa mashine 1 ya kisasa ya CT-Scan, mashine 14 za upasuaji (diathermy machines), mashine 2 kubwa za usafishaji vifaa (auto clave machines), vifaa vya usikivu (cochlear implants), mashine za kutolea huduma ya kupandikiza vifaa vya usikivu (audiometer and ABR machine) na lifti 2 kwa ajili ya majengo ya Kibasila na Sewahaji;
Annael naona unazidi kutunyoosha aiseeeeeh!Miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)
- mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam;
- kiwanda cha kuzalisha madawa muhimu na vifaa tiba;
- Dar es Salaam – Chalinze Toll Road.
The Magufuli effect and why Tanzania's economy is gaining onHizi mipango zimezidi, we want action.
BRT ingeweza kabisa yote ikafanywa kama PPP, kuanzia ujenzi, ni mradi ambao uko economical viable.Miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)
- mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam;
- kiwanda cha kuzalisha madawa muhimu na vifaa tiba;
- Dar es Salaam – Chalinze Toll Road.
Soma:MKUKUTA, MKURABITA, Kilimo Kwanza, BRN nk zipo wapi?
Hiyo numba 2 ndio itatutenganisha sisi na wale wengine.Maeneo Mengine ya Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda
4.6.1 Viwanda
- Kupanua na Kuimarisha Shughuli za Shirika la Viwanda Vidogo – SIDO: Mapendekezo yamelenga kuifanya SIDO kuwa ndiyo chombo muhimu katika kuleta mageuzi ya viwanda nchini;
- kuendelea kujenga viwanda vinavyotumia malighafi kutoka nchini ikiwemo kilimo, madini na gesi asilia;
- kuendeleza viwanda vitakavyozalisha bidhaa mbadala wa zile zinazoagizwa kutoka nje ya nchi;
- viwanda vitakavyotoa ajira kubwa kwa makundi yote ya jamii;
- kuhakikisha upatikanaji wa mitaji ya kuendeleza viwanda kupitia Benki ya Rasilimali na Benki ya Maendeleo Kilimo na mifuko ya wajasiriamali wadogo;
- Kuanzisha na kuendeleza maeneo ya viwanda (Industrial parks) na maeneo ya Teknolojia (Technological Parks);
- Kuimarisha uanzishwaji na uendelezaji wa kongane za viwanda vinavyotumia malighafi za mazao ya kilimo na shughuli nyingine za kiuchumi
- Kuimarisha na kuzitumia taasisi za umma katika kuleta mageuzi ya viwanda nchini. Taasisi hizo ni pamoja na: NDC, STAMICO, TPDC, TIRDO, CARMATEC, TEMDO, COSTECH, na Nyumbu na Mzinga.
4.7.4 Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu
Mkazo utawekwa katika kuendeleza na kuanzisha viwanda vitakavyotoa ajira kwa wingi katika maeneo ya pamba hadi nguo, ngozi na bidhaa za ngozi, na kuongeza thamani ya mazao. Ili kuhakikisha makundi haya yanapata ajira katika maeneo hayo, Mpango utazingatia mambo yafuatayo:-
- Kuimarisha upatikanaji wa mitaji ili kujiajiri kwa kuimarisha mfuko wa maendeleo ya vijana;
- Kukuza ujuzi na stadi za kazi katika viwanda, kilimo, biashara, utalii, usafirishaji, TEHAMA na madini;
- Kutambua ujuzi uliopatikana nje ya mfumo rasmi wa mafunzo.
Dogo Bagamoyo is a very big project. Siyo kama projects zenyu za kuandika ONLY BRT" Mkazo utawekwa katika kuendeleza na kuanzisha viwanda vitakavyotoa ajira''
Huu mkazo mtaweka lini? Kila kitu kwenyu ni future tense kama tu Bagamoyu...bure kabisa.
Upuzi tu. Huu mradi hewa ulianza kabla ya Lamu port na bado mko kwenye ile stage mashuhuri ya Kuzindua. Tena hio ripoti unaweka hapa ni ya mwaka jana kumaanisha project keshasahaulika kam kawaida yenu.Dogo Bagamoyo is a very big project. Siyo kama projects zenyu za kuandika ONLY BRT
View attachment 740532
Bagamoyo port project now revived
Halafu soma hapa uone maendeleo ya mradi.
Govt clears way for Bagamoyo project
Hahahaha. Tulia unyolewe dogo. Hasira ya nini? Pilipili usiyoila yakuwashia nini?Upuzi tu. Huu mradi hewa ulianza kabla ya Lamu port na bado mko kwenye ile stage mashuhuri ya Kuzindua. Tena hio ripoti unaweka hapa ni ya mwaka jana kumaanisha project keshasahaulika kam kawaida yenu.
Soma Development Vision 2025, ambayo ni roadmap ya Maendeleo ya nchi yetu, kama ulikuwa hujui.Lol..too many mipangos. Can't they have a long term sustainable roadmap? At this rate,the left hand is bound to not knowing what the right hand is up to.
Me thinks it's a bait for another protracted Nbo vs Dar merry go round!
Told them,Ref; Kenya Vision2030!