Ngonidema
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,720
- 2,688
Hakuna Mjadala tena Maccm yamepoteana kabsa hawaelewi pakuingilia wala pakutokea kwasasa kwan maccm yamekataliwa kila mahali c vijjn wala town, walichobakiwa nacho ni ile asili yao ya kukataa ukweli coz wameamishwa ivyo bila kusahau uwongo uwongo na umbeya mwingii+mipasho isiyo na tija kwa Taifa letu, bye bye ccm, Karibu Ukawa via Chadema, karbu Rais Mtarajiwa anaye subr kuapishwa Mh E. Lowasa