Hakuna Mjadala tena Maccm yamepoteana kabsa hawaelewi pakuingilia wala pakutokea kwasasa kwan maccm yamekataliwa kila mahali c vijjn wala town, walichobakiwa nacho ni ile asili yao ya kukataa ukweli coz wameamishwa ivyo bila kusahau uwongo uwongo na umbeya mwingii+mipasho isiyo na tija kwa Taifa letu, bye bye ccm, Karibu Ukawa via Chadema, karbu Rais Mtarajiwa anaye subr kuapishwa Mh E. Lowasa
Mkuu, hawa wafuasi wa CHADEMA inabidi wapimwe akiliMtendaji yupi hata kusema hotuba take ys pg moja kichwani hawezi,wakakupime akili
Ukombozi upi wakati akili yake ni mdogo kuriko hata mtoto wa chekechea,sijui mikataba ya kitaifa na kimataifa kwake itakuwaje japo najua ikishindikana sana serikali ya mseto ili kulisaidia taifaYap, ukombozi wa pili wa mtanzania
Kwenye mdahalo anachomoka na takwimu dunuani kote mgombea anayefanya vizuri kwenye midahalo ndo uwa anashinda,Tupo tayari kabiiiisaaaa Viva EL
Hakuna Mjadala tena Maccm yamepoteana kabsa hawaelewi pakuingilia wala pakutokea kwasasa kwan maccm yamekataliwa kila mahali c vijjn wala town, walichobakiwa nacho ni ile asili yao ya kukataa ukweli coz wameamishwa ivyo bila kusahau uwongo uwongo na umbeya mwingii+mipasho isiyo na tija kwa Taifa letu, bye bye ccm, Karibu Ukawa via Chadema, karbu Rais Mtarajiwa anaye subr kuapishwa Mh E. Lowasa
Kwenye mdahalo anachomoka na takwimu dunuani kote mgombea anayefanya vizuri kwenye midahalo ndo uwa anashinda,
Ukawa imesha gawanyika tangu lowasa aingie na sasa NCCR. Ukawa rudieni ukweli acheni tamaa.
Kaka Endelea Kukaa Na Takwimu Zako....... Huyo Magufuli Anayeongea Sana Anongea Kipi Cha Maana!?
Au Unadhani Kutumia Muda Mwingi Ndio Tija?
Labda mchakamchaka wa kumuanika juani asubuhi ili wanaomsaidia wapige diri maana akili take tayari imeoza anaishi kwa masindano ya ganziMchakamchaka WA maendeleo na lowasa