Tanzania mwenyeji mkutano wa wabunge wa jumuiya ya madola.

Omumura

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
476
Reaction score
18
Mwezi huu wa tisa Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa 55 wa wabunge wa Commonwealth utakaofanyika Arusha.Tunaambiwa kwamba wanakuja wabunge wapatao 800 hivi!Sina uhakika Tanzania imejiandaaje kufaidika na fursa za mkutano huo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…