O Omumura JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 476 Reaction score 18 Sep 9, 2009 #1 Mwezi huu wa tisa Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa 55 wa wabunge wa Commonwealth utakaofanyika Arusha.Tunaambiwa kwamba wanakuja wabunge wapatao 800 hivi!Sina uhakika Tanzania imejiandaaje kufaidika na fursa za mkutano huo!
Mwezi huu wa tisa Tanzania itakuwa mwenyeji wa mkutano wa 55 wa wabunge wa Commonwealth utakaofanyika Arusha.Tunaambiwa kwamba wanakuja wabunge wapatao 800 hivi!Sina uhakika Tanzania imejiandaaje kufaidika na fursa za mkutano huo!