Tanzania na Burundi Kuimarisha Ushirikiano Sekta ya Sheria

Tanzania na Burundi Kuimarisha Ushirikiano Sekta ya Sheria

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Machi 11, 2025 Jijini Dar Es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Burundi nchini Mhe. Leontine Nzeyimana

Gl6bmHjXgAADGqZ.jpg
Katika Mazungumzo yao viongozi hao wamejadiliana mambo mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya Sheria ikiwemo ushirikiano katika kupambana na uhalifu, na masuala ya haki za binadamu baina ya mataifa hayo mawili.

Ikumbukwe kuwa Tanzania na Burundi zimekuwa na uhusiano wa karibu na ushirikiano wa muda mrefu, tangu enzi za waasisi wa mataifa hayo ambapo urafiki wa kidiplomasia umejengwa juu ya msingi wa historia, tamaduni zinazoendana, na maslahi ya pamoja.

Gl6bnPyWwAAVyq6.jpg
Gl6bnPnXkAAf0nO.jpg
 

Attachments

  • Gl6bnP6WwAAyOE9.jpg
    Gl6bnP6WwAAyOE9.jpg
    319 KB · Views: 1
  • Gl6bnPoWkAA4W4g.jpg
    Gl6bnPoWkAA4W4g.jpg
    284.2 KB · Views: 1
Back
Top Bottom