johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Tanzania tunapata unafuu wa Bei za mafuta kupitia ruzuku lakini Rais Museveni wa Uganda amesema ruzuku haisaidii lolote.
Uganda wameanza Mfumo wa kuyabadili magari yaanze kutumia Umeme.
Rais Museveni alikuwa akichangia nada kwenye kikao cha wakuu wa nchi za EA.
Chanzo: ITV Habari
Uganda wameanza Mfumo wa kuyabadili magari yaanze kutumia Umeme.
Rais Museveni alikuwa akichangia nada kwenye kikao cha wakuu wa nchi za EA.
Chanzo: ITV Habari