Tanzania na Korea: Ziara ya Rais Samia kufungua fursa mpya kwa Watanzania

Lucas Mwashambwa njoo haraka kuna mtu ameingilia dili lako
 
Mbaya sana kudhani kuwa maendeleo yataletwa na watu wa nje , mikopo nk. Akili hii pia alikuwa nayo JK.
Waambiwe kuwa kama huko tayari kutumia akili yako, kufanyakai kwa nidhamu mpaka ngozi ya mxxndxxxi ichubuke....sahau maendeleo, si kwa serikali tu hata kwa mtu binafsi. Hii ndiyo 'Sunna' aliyoiweka Mungu kwa kitu hiki maendeleo. Mungu alipoumba dunia aliweka kanuni za kifizikia, kibayolojia, kitabia nk. Huwezi kuhalifu kanuni hizo ukapona. Hivyo, ukinywa maji machafu utaugua (biolojia) ukiteleza kwenye mti, nyumba...utaanguka chini (fizikia) Ukimtegemea mwingine kwa maendeleo yako, hufiki (tabia) Nastaajabu hawa wanaong'ang'ania kuunda sheria zao wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…