MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Kwa kusema ule ukweli Tanzania ina mipango mibovu na inakwenda kama mwendo Wa kinyonga
Tulizoea kuona kila wiki kupata taarifa za bwawa la umeme Rufiji lakini Siku hizi hatupati. Wanatusaulisha kusudi ili baadae walitelekeze.
Kuna kodi za mtanzania zimeteketea pale cha ajabu majitu yapo yamekodoa macho wanajifanya hawajui makosa hayo.
Soma pia: Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini
Tulizoea kuona kila wiki kupata taarifa za bwawa la umeme Rufiji lakini Siku hizi hatupati. Wanatusaulisha kusudi ili baadae walitelekeze.
Kuna kodi za mtanzania zimeteketea pale cha ajabu majitu yapo yamekodoa macho wanajifanya hawajui makosa hayo.
Soma pia: Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini