Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Habari.
Hivi Tanzania ina sheria dhidi ya kukatiza holela barabara (Jaywalking)?
Usalama barabarani ni pamoja na udhibiti wa matumizi yasiyo ya vyombo vya moto.
Lini mara ya mwisho aendaye kwa miguu (pedestrian) alipewa notifikesheni ya faini?
Hivi Tanzania ina sheria dhidi ya kukatiza holela barabara (Jaywalking)?
Usalama barabarani ni pamoja na udhibiti wa matumizi yasiyo ya vyombo vya moto.
Lini mara ya mwisho aendaye kwa miguu (pedestrian) alipewa notifikesheni ya faini?