Tanzania na Suala la Uraia Pacha

Tanzania na Suala la Uraia Pacha

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Katika Bara la Afrika lenye nchi 54, ni nchi chache tu, takriban nchi 10, ndizo zizsizokubali uraia pacha. Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Ethiopia na Congo D.R.C. Hata nchi jirani ambako baadhi ya Watanzania wamekuwa wakijinasibu kutaka kuhamia, yaani, Burundi, wametupiku katika hilo.

Lakini kwa nini Tanzania imekuwa miongoni mwa hizo nchi chache Afrika?

Inawezekana Serikali ina sababu ya Msingi sana kuung'ang'ania msimamo wake wa tangu zamani wa kutokuukubali uraia pacha. Na kama ndivyo, ni vyema ingeuweka wazi ili wananchi wote wazijue hivyo kuwa tayari kuitetea Serikali yao pale wanapozodolewa na "majirani" zao.

Na kwa kuwa sababu za msingi hasa haziko wazi, inaweza ikawa ni mojawapo kati ya hizi.

1. Watunga sera na Viongozi kwa ujumla Wana akili sana kiasi kwamba wanayaona ambayo wenzao wa nchi zilizoukubali hawayaoni, au:

2. Watunga sera na Viongozi wana fikra finyu sana kiasi cha kutotambua kuwa uraia pacha ni hitaji la wakati, hivyo si sahihi kupingana nalo.

Ipi hasa sababu ya msingi?
 
Katika Bara la Afrika lenye nchi 54, ni nchi chache tu, takriban nchi 10, ndizo zizsizokubali uraia pacha. Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Ethiopia na Congo D.R.C. Hata nchi jirani ambako baadhi ya Watanzania wamekuwa wakijinasibu kutaka kuhamia, yaani, Burundi, wametupiku katika hilo.

Lakini kwa nini Tanzania imekuwa miongoni mwa hizo nchi chache Afrika?

Inawezekana Serikali ina sababu ya Msingi sana kuung'ang'ania msimamo wake wa tangu zamani wa kutokuukubali uraia pacha. Na kama ndivyo, ni vyema ingeuweka wazi ili wananchi wote wazijue hivyo kuwa tayari kuitetea Serikali yao pale wanapozodolewa na "majirani" zao.

Na kwa kuwa sababu za msingi hasa haziko wazi, inaweza ikawa ni mojawapo kati ya hizi.

1. Watunga sera na Viongozi kwa ujumla Wana akili sana kiasi kwamba wanayaona ambayo wenzao wa nchi zilizoukubali hawayaoni, au:

2. Watunga sera na Viongozi wana fikra finyu sana kiasi cha kutotambua kuwa uraia pacha ni hitaji la wakati, hivyo si sahihi kupingana nalo.

Ipi hasa sababu ya msingi?
Hayati Mh.Samuel Sita(Spika Mstaafu) aliwahi kujibu suali kama hili Kule nchini USA alipoulizwa na waandishi wa habari ' kwa nini TZ haikubali Uraia pacha'? alisema hivi.:-
''Zanzibar ndiyo kizuizi,
kwa vile baada ya Mapinduzi, wazanzibri wengi walikimbilia nje , na hasa wenye asili ya Kiarabu wengi wako Oman, na wanamapesa mingi sana na wana nia ya kurudi kuja kuipindua serikali ya SMZ.
Kwa hofu hiyo ikiwa tutaruhusu uraia pacha ,watu wale wote wanaweza kurudi na kuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Zanzibar na kusababisha kuvunjika kwa amani.''
Samuel sita
 
Hayati Mh.Samuel Sita(Spika Mstaafu) aliwahi kujibu suali kama hili Kule nchini USA alipoulizwa na waandishi wa habari ' kwa nini TZ haikubali Uraia pacha'? alisema hivi.:-
''Zanzibar ndiyo kizuizi,
kwa vile baada ya Mapinduzi, wazanzibri wengi walikimbilia nje , na hasa wenye asili ya Kiarabu wengi wako Oman, na wanamapesa mingi sana na wana nia ya kurudi kuja kuipindua serikali ya SMZ.
Kwa hofu hiyo ikiwa tutaruhusu uraia pacha ,watu wale wote wanaweza kurudi na kuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Zanzibar na kusababisha kuvunjika kwa amani.''
Samuel sita
Wazanzibar wanaogopeka kiasi hicho? Au hayati aliteleza ulimi?
 
Katika Bara la Afrika lenye nchi 54, ni nchi chache tu, takriban nchi 10, ndizo zizsizokubali uraia pacha. Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Ethiopia na Congo D.R.C. Hata nchi jirani ambako baadhi ya Watanzania wamekuwa wakijinasibu kutaka kuhamia, yaani, Burundi, wametupiku katika hilo.

Lakini kwa nini Tanzania imekuwa miongoni mwa hizo nchi chache Afrika?

Inawezekana Serikali ina sababu ya Msingi sana kuung'ang'ania msimamo wake wa tangu zamani wa kutokuukubali uraia pacha. Na kama ndivyo, ni vyema ingeuweka wazi ili wananchi wote wazijue hivyo kuwa tayari kuitetea Serikali yao pale wanapozodolewa na "majirani" zao.

Na kwa kuwa sababu za msingi hasa haziko wazi, inaweza ikawa ni mojawapo kati ya hizi.

1. Watunga sera na Viongozi kwa ujumla Wana akili sana kiasi kwamba wanayaona ambayo wenzao wa nchi zilizoukubali hawayaoni, au:

2. Watunga sera na Viongozi wana fikra finyu sana kiasi cha kutotambua kuwa uraia pacha ni hitaji la wakati, hivyo si sahihi kupingana nalo.

Ipi hasa sababu ya msingi?
Kwa nini CHADEMA isiseme sera yake ni uraiapacha tuipe kura zetu 100%
 
Viongozi wa Tanzakiza bado wapo katika fikra za kijima kiasi kwamba dunia inakwenda kasi wao bado Wana fikra za zama za mawe za mwanzo
 
Kwa nini CHADEMA isiseme sera yake ni uraiapacha tuipe kura zetu 100%
Sina Chama na wala sijawahi kuwa na Chama, lakini Chama chochote kitakachozingatia haya mambo mawili: URAIA PACHA na PASSPORT YA KUSAFIRIA KUWA HAKI YA KILA MTANZANIA, iwe na uhakika kwa asilimia tisini na tisa nukta tisa kupata kura yangu.
 
Kwani kama serikali inaruhusu Watanzania waliochukua uraia wa nchi nyingine kuja Tanzania bila viza,kuruhusu kumiliki ardhi,kumiliki biashara na kupata haki nyingine kasoro kupiga au kupigiwa kura hasa kwa nafasi za kisiasa au kuajiriwa kwenye sekta ya umma hasa kwenye taasisi za ulinzi na usalama, itakuwa haitoshi?
 
Hayati Mh.Samuel Sita(Spika Mstaafu) aliwahi kujibu suali kama hili Kule nchini USA alipoulizwa na waandishi wa habari ' kwa nini TZ haikubali Uraia pacha'? alisema hivi.:-
''Zanzibar ndiyo kizuizi,
kwa vile baada ya Mapinduzi, wazanzibri wengi walikimbilia nje , na hasa wenye asili ya Kiarabu wengi wako Oman, na wanamapesa mingi sana na wana nia ya kurudi kuja kuipindua serikali ya SMZ.
Kwa hofu hiyo ikiwa tutaruhusu uraia pacha ,watu wale wote wanaweza kurudi na kuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Zanzibar na kusababisha kuvunjika kwa amani.''
Samuel sita

Tuvunje Tu Muungano...
Wazanzibari tuwaache na mambo yao
 
Tuvunje Tu Muungano...
Wazanzibari tuwaache na mambo yao
Watanganyika na Wazanzibar wanataka iwe hivyo, lakini viongozi wa Tanganyika hawataki hata kulisikia hilo.

Ndiyo maana wanajitahidi kuwapooza kwa viupendeleo spesho mithili ya mtoto mdogo pendwa aliyezoeshwa madeko.
 
Back
Top Bottom