mr.chengachenga
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 155
- 104
Habari wana JF.
Napenda kufahamu kutoka kwa wanaofahamu kuhusu teknolojia katika nchi yetu.
Je, kuna chombo chochote kinachosimamia au kuendeleza teknolojia ya watanzania wanazozigundua au kuziiba(kucopy)kutoka mataifa mengine ili na sisi sikumoja tuweze kuzalisha kama mataifa mengine au hata kutengeneza silaha zetu za kijesh wenyewe? nakumbuka kunasiku nilikua naangalia kipindi cha EATV kiitwacho USWAZI nikaona jamaa anatengeneza helcopta na alikua yuko katika hatua za mwishoni kabisa lakini sijui aliishiaga wapi.
Na je, yale magari ambayo JWTZ walisema wanayatengeneza wenyewe(kwenye ckuku ya muungano), wanayatengeneza kla k2 mf injini, bodi, nk.au baadhi ya v2 wanaviagiza nje na kufanya kuviundia 2 hapanyumban.
Nakaribisha maoni yenu naushauri kama kuna maali nlikosea kwenye hii thread.
Asanteni.
Napenda kufahamu kutoka kwa wanaofahamu kuhusu teknolojia katika nchi yetu.
Je, kuna chombo chochote kinachosimamia au kuendeleza teknolojia ya watanzania wanazozigundua au kuziiba(kucopy)kutoka mataifa mengine ili na sisi sikumoja tuweze kuzalisha kama mataifa mengine au hata kutengeneza silaha zetu za kijesh wenyewe? nakumbuka kunasiku nilikua naangalia kipindi cha EATV kiitwacho USWAZI nikaona jamaa anatengeneza helcopta na alikua yuko katika hatua za mwishoni kabisa lakini sijui aliishiaga wapi.
Na je, yale magari ambayo JWTZ walisema wanayatengeneza wenyewe(kwenye ckuku ya muungano), wanayatengeneza kla k2 mf injini, bodi, nk.au baadhi ya v2 wanaviagiza nje na kufanya kuviundia 2 hapanyumban.
Nakaribisha maoni yenu naushauri kama kuna maali nlikosea kwenye hii thread.
Asanteni.