Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kiukweli sio leo wala kesho CCM itakuja kutoka kimapinduzi tena yamebakia nchi ya Afrika.
Tanzania imetawaliwa na mtaji wa CCM mpaka kufikia wakituambia kadi ya CCM unaweza kukopea benki na kufanyia kila kitu.
Jambo hili linapelekea hatari kama iliyoundwa na Raisi aliyetenguliwa Sudani Omary Bashiri kuunda jeshi ndani ya jeshi.
CCM imekuwa ikizorotesha maendeleo ili kujifanya kesho ndio wanatatua changamoto.
tuna kila kitu ila tumekuwa maskini.
Tanzania imetawaliwa na mtaji wa CCM mpaka kufikia wakituambia kadi ya CCM unaweza kukopea benki na kufanyia kila kitu.
Jambo hili linapelekea hatari kama iliyoundwa na Raisi aliyetenguliwa Sudani Omary Bashiri kuunda jeshi ndani ya jeshi.
CCM imekuwa ikizorotesha maendeleo ili kujifanya kesho ndio wanatatua changamoto.
tuna kila kitu ila tumekuwa maskini.