leseni ya biashara haitolewi na TRA. TRA hutoa TIN na TAX CLEARANCE CERTIFICATE. Leseni hutolewa na Halmashauri / manispaaTRA watembee na documents ambazo zinamuwezesha mtu aliyefungua biashara yake bila leseni ya biashara wanapofika madukani wakikuta hauna leseni basi hapo hapo uwe unabuwezo wabkupewa tin, pia wakupatie na leseni yako ili kudhibiti ukwepaji kodi kuliko kumfungia mtu biashara yake.
Sisi ni wateja wao tunahitaji faraja kutoka kwao na siyo kumfungia mtu duka lake, sio wote wanaofahamu leseni wanaipataje.
Ni hayo tu kwa upande wa TRA π
Maan a kamili ya MIFUMO HAISOMANIleseni ya biashara haitolewi na TRA. TRA hutoa TIN na TAX CLEARANCE CERTIFICATE. Leseni hutolewa na Halmashauri / manispaa
Naunga mkono hoja.TRA watembee na documents ambazo zinamuwezesha mtu aliyefungua biashara yake bila leseni ya biashara wanapofika madukani wakikuta hauna leseni basi hapo hapo uwe unabuwezo wabkupewa tin, pia wakupatie na leseni yako ili kudhibiti ukwepaji kodi kuliko kumfungia mtu biashara yake.
Sisi ni wateja wao tunahitaji faraja kutoka kwao na siyo kumfungia mtu duka lake, sio wote wanaofahamu leseni wanaipataje.
Ni hayo tu kwa upande wa TRA π
Toa rushwa upate harakaTRA wanakufanyia makadirio. Ukishalipa wanasumbuwa kutoka clearance.
Wapi huko wanasumbua kutoa clearance?? Mbona tunapata clearance certificate kirahisi tuu kama huna deni nao??TRA wanakufanyia makadirio. Ukishalipa wanasumbuwa kutoka clearance.
LESENI HAWATOI WAO ,LESENI NI YA MANISPAA HUSIKATRA watembee na documents ambazo zinamuwezesha mtu aliyefungua biashara yake bila leseni ya biashara wanapofika madukani wakikuta hauna leseni basi hapo hapo uwe unabuwezo wabkupewa tin, pia wakupatie na leseni yako ili kudhibiti ukwepaji kodi kuliko kumfungia mtu biashara yake.
Sisi ni wateja wao tunahitaji faraja kutoka kwao na siyo kumfungia mtu duka lake, sio wote wanaofahamu leseni wanaipataje.
Ni hayo tu kwa upande wa TRA π