Baba ilumba
Member
- Apr 18, 2020
- 37
- 49
Wasalaam wanajf ,nikitambo kidogo kimepita bila ya kuwemo humu basi natumai mu wazima wote.
Leo nikiwa mjini bana kuna katukio kamenifurahisha na kuniacha mdomo wazi kwa kweli.
Nimewakuta vijana wakiwa wanabishana wenyewe kuhusu hawa wanasiasa wetu wanaoonekana kila baada ya miaka5 .
Aise ubishani ulikuwa wa kiwango cha lami😂kwa kweli na mm kama baba ilumba nikaona acha vijana wabishane wazee tuendelee kula tu jasho letu tukizisongesha siku zetu hakika.
LENGO LANGU:Ni vema tukawashauri vijana hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi wasiegamie katika siasa Bali wawe wabunifu na wachapa kazi.
*siasa mchezo mbaya*
-babu ilumba-
Leo nikiwa mjini bana kuna katukio kamenifurahisha na kuniacha mdomo wazi kwa kweli.
Nimewakuta vijana wakiwa wanabishana wenyewe kuhusu hawa wanasiasa wetu wanaoonekana kila baada ya miaka5 .
Aise ubishani ulikuwa wa kiwango cha lami😂kwa kweli na mm kama baba ilumba nikaona acha vijana wabishane wazee tuendelee kula tu jasho letu tukizisongesha siku zetu hakika.
LENGO LANGU:Ni vema tukawashauri vijana hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi wasiegamie katika siasa Bali wawe wabunifu na wachapa kazi.
*siasa mchezo mbaya*
-babu ilumba-