Tanzania National Basketball, Special Thread!

Duduwasha

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
5,703
Reaction score
3,658
Basket ya Tanzania katika kupata akili fresh Nilipokuwa mdogo Enzi hizo Upanga kulikuwa na Mtu mmoja aliyenifnya niweze kuupenda hu mchezo na huyo sio Mwingine Ni Mr Hunta(R.IP)

huyu alikuwa jirani yetu na kwa kumfahamu zaidi alikuwa mtu mpole na rafiki wa kila lika hata sie watoto alitupenda Upanga yeye alikuwa anaishi na Bibi yake ambaye alikuwa anatuuzia sie Ubuyu wa Unga maembe , mabungo karanga n.k tena kwa sent tano hadi ishirini miaka ikienda bei inakuja juu hadi mwisho ilikuwa Shilingi.

Kwa upendo tulianza kushangaa kutopatikana mida ya Jioni huku akiwepo kunakuwa na marafiki wengine wakubwa kuja kufuatilia kumbe alikuwa ni Mcheza kikapu hodari, tena mwenye Shabaha pindi hizo sie ndio tulikuwatunaita(Tukimaanisha Good Shooter) basi akiwa anachezea timu yake ya Shule Ya Kinondoni uwanja wa Zanaki ulikuwa unajaa Sana kumtizama Hanta akiwa amefunga usongo kichwani na mkononi Bonge la Blazamen. Mtaani kila mtu akawa anapenda huo mchezo awe kama Hanta..

Ukienda Mitaa ya Gymkhana Utakuta Uwanja wa Basketball Mzuri Kulikuwa na Timu ya Pazi Pale Utawakuta makocha kina Seleh Zonga na Abdallah Wakicheza na Kufundisha.

Timu Kongwe ya Pazi iliyotamba miaka mingi na kuja kumaliza utawala wake miaka ya 1990 na 2000 hadi mwaka 2011 haijaweza Kutwaa kikombe kikubwa..Kazeni Buti Na hiyo ni baada ya Basketball ya Africa Kuja juu so Wachezaji wake wengi walianza kukimbia kutafuta maslai nje tena kikubwa ni baada ya Mfadhili wake Mkuu Bwana Malai kuyumba kiuchumi kashfa za hapa na Pale Pole zake sana Mzee Malai Tunakuombea Mambo yanyooke tena tupate Burudani..

Nikiwakumbuka kina Tambwe Jibaba lenye Nguvu (Zaire) alipoteza uhai wake huko South Africa R.I.P.)
Edson mkali wa Kudunda na Kupenetrate popote pale Ulitisha Mkuu.. Dorii(Nima?)hakusahau. japo na wewe huwezi msahau, Papii, Jenga, Atiki, Paul(Mzungu Point 5) Fanaka Tulla(Aluta)...... Tatizo lako pindi zile ulikuwa Blazamen sana na Asingekubania Mbamba(R.I.P) Ungekuwa Juu sana uliacha Historia kupigwa Life Ban la kucheza Basketball ndani na Nje Si Mchezo

Timu ya Vijana City Bulls Nayo haikuwa Nyuma Kutoa Wachezaji wakali na waliotamba Muda Mrefu na wa Muda Mfupi Historia zao Nitazifuatilia na kuziweka humu kwa Sasa natoa nazozijua tu Hawa kina Jakson kalikumtima wanazijua haswa sipo nao kwani ni wa zamani sana nadhani wakipita humu wataweka sawa historia au Manase ... ...Nakumbuka tu Wachezaji wa miaka ya 1990 kuja juu Oba ukiacha kaka zake Ionnocent nae ukiacha kaka zake Mkali Deo.( Huyu alikuwa Ni Noma Kacheza na Hanta) wengine nawakumbuka kwa Sura tu Kina Roti Cheyo mpaka sasa anapiga msuli Vijana Ramadhani Abdallah (Dullah Mpemba) Alikuwa Mvp mala kadhaa hadi kuwa Mchezaji bora wa mwaka Tanzania Congrats, Ally Mnyamani Kwa Sasa Kahamia Moja kwa Moja Savio(Zamani Don Bosco) na bado anacheza lol Yasin (Jump Around) hehe alikuwa na Manjonjo akishafunga ana jump around Raha tupu, Bahati Mgunda Mzee wa Tatu Kocha hadi Sasa wa National Team na Vijana City Bulls Pia ni Teacher Shule ya IST Hongera Mkuu Muddy Mbwana(kakimbilia Chang'ombe.Rahim Kipingu, Paul(Kubwaa) na wengine wengi duh kuwamaliza ni issue

Don Bosco Kituo cha Watoto wa Wahindi wa Goa Kimechangia Sana kukuza Basketball Tanzania kilifanikiwa kutengeneza timu ya Watoto hadi ikaja kuwa makini na hatari kuzalisha wachezaji wakali sana Dorii Nima (Utege) ...Peter Bategeki huyu ni Balaa Ufungaji nadhani kila ligi alizoshiriki hadi mwisho alikuwa anaongoza lol Mukolo Ngoi (Huyu alikuwa mkali wa Block na kudank Shooting na Three point no no no! Jije Good Job Kijana Matunda Mazuri ya Don Bosco, Tozzi Ismail Ghulamalikuwa nafurahisha kwa Dank zake ambazo akiwa peke yake

Timu za Jeshi Nazipa Pongezi Kubwa Sana Kwani Wamejitutumua kutoka Mbali hadi kuja kushika Hatamukwani Miaka ya Nyuma waliipa nafasi Michezo ila wachezaji walikuwa wanawaangusha sio hawakuweza ila mchezo huu ukijifunzia ukubwani unahitaji time kuwa mkali Game walizokuwa wakicheza zilikuwa nzuri tatizo lao lilikuwa kwenye Score wakawa wanabaki down sana makocha walipoumia wakakaa chini na kutafuta mbinu wakafaulu japo walianza na mbinu chafu za kuumiza wachazaji wapinzani faul za wazi wazi Japo hiki kama bado Mnacho punguzeni Nguvu Wazee mnamaliza wachezaji

DSM outsider hii timu ndio iliyomtoa Hasheem Thabeet baada ya wachezaji wengi wa Makongo kuwa wanacheza sana na hawa Watu wa Maeneo ya udsm Claudio naye kachezea sana hapo
 


First left Patric Nyembela Jenga,Mathias (BLue Jacket), Rahim na Wengine siwakumbuki ila wa Second las Rahim Kipingu Mwisho ni Evarist Mapunda
 
duduwasha vipi huyu dogo anaweza kweli au bado anahitaji nguvu za ziada

 
kumbe pat nyembera ni mcheza kikapu.
aah Sana tu Alikuwa Mchezaji Maarufu Sana



Nitakujazia Picha zao Uwaone Walipokuwa Marekani japo walichapwa karibu mechi zote na Timu za Kule Walipoenda kufanya Ziara Kwa Hisani ya Mlezi wa Timu Bwana Malai (R.I.P)
 
aah Sana tu Alikuwa Mchezaji Maarufu Sana



Nitakujazia Picha zao Uwaone Walipokuwa Marekani japo walichapwa karibu mechi zote na Timu za Kule Walipoenda kufanya Ziara Kwa Hisani ya Mlezi wa Timu Bwana Malai (R.I.P)

pamoja sana mkuu
 

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Gwakisa Mwasakenyi
Miaka:
Urefu: 6
Jezi No: 12
RBA: 3
Nafasi: Power Foward
Jina: Harmony Muganyizi
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 15
RBA: 2
Nafasi: Shooting Guard

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd, width: 90"]Jina: Patrick Nyembera
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 6
RBA: 7
Nafasi: Point guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd, width: 90"]Jina: Abdul Daudi
Miaka:
Urefu: 6'1"
Jezi No: 8
RBA: 6
Nafasi: Power Foward
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Abdul Mgiriki
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 13
RBA: 1
Nafasi: Point Shooting

[/TD]
[TD="width: 90"]

[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Ally Hamid
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 4
RBA: 2
Nafasi: Shooting Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBdRed, width: 90"]Jina: Karim Mayuwe
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 10
RBA: 1
Nafasi: Shooting Foward
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBdRed, width: 90"]Jina:Constantine Kinyongo
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 11
RBA: 7
Nafasi: Power Foward
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBdRed, width: 90"]Jina: Majaliwa Mtemele
Miaka:
Urefu: 5'5"
Jezi No: 4
RBA: 1
Nafasi: Point Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Dismas Charles
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 8
RBA: 1
Nafasi: Shooting Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBdRed, width: 90"] Jina: Faidhu Ngelka
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 4
RBA: 5
Nafasi: Shooting Guard

[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Idd Othman
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 11
RBA: 1
Nafasi: Post Guard
[/TD]
[/TD]
Pazi Team
 

[TD="width: 12"][/TD]
[TD="class: header"]
Vijana City Bulls
[/TD]

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Obote Mwambogo
Miaka:
Urefu: 6'4"
Jezi No: 14
RBA: 9
Nafasi: Center
Jina: Emmaneul Mwikalo
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 5
RBA: 2
Nafasi: Shooting Guard
Jina: Idd Mohammed
Miaka:
Urefu: 6'1"
Jezi No: 13
RBA: 6
NAfasi: Forward
Jina: Jacob Marenga
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 4
RBA: 4
Nafasi: Point Guard
Jina: Jamal Shebe
Miaka:
Urefu: 6'6"
Jezi No: 11
RBA: 1
Nafasi: Forward Small
Jina: John Mcharo
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 6
RBA: 3
Nafasi: Guard
Jina: Shisarya Mwiki
Miaka:
Urefu: 6'1"
Jezi No: 8
RBA: 7
Nafasi: Shooting Guard
Jina: Salum Rajab
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 7
RBA: 2
Nafasi: Guard
Jina: Tumaini Mazigo
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 15
RBA: 4
Nafasi: Shooting Guard

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Manase Zabron
Miaka:
Urefu: 5'11"


Nafasi: Coach

[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Bahati Mgunda
Miaka:
Urefu: 5'10"


Nafasi: Asst. Coach
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Abdul Ramadhan
Miaka:
Urefu: 6'1"
Jezi No: 9
RBA: 7
Nafasi: Shooting Foward
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Lusajo Lazanes
Miaka:
Urefu: 6'4"
Jezi No: 13
Nafasi: Center
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Mohammed Ally
Miaka:
Urefu: 6'3"
Jezi No: 10
RBA: 6
Nafasi: Small Foward
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Cosmas Alloyce
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 11
RBA: 5
Nafasi: Point Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="class: bodytextBd, width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Daniel Muya
Miaka:
Urefu: 6'5"
Jezi No: 12
RBA: 1
Nafasi: Center
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Hagai Zablon
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 15
RBA: 7
Nafasi: Small foward
[/TD]
[TD="width: 90"] [/TD]
[/TD]
 
SAVIO

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Kablola Shomari
Miaka:
Urefu: 6
Jezi No: 14
RBA: 6
Nafasi: Small Foward
Jina: George Tarimo
Miaka:
Urefu: 6'3"
Jezi No: 8
RBA: 8
Nafasi: Center
Jina: Mathew Satta
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 7
RBA: 8
Nafasi: Offensive Guard
Jina: Ivan Tarimo
Miaka:
Urefu: 6
Jezi No: 10
RBA: 2
Nafasi:
Jina: Ally Mnyuyamani
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 6
RBA: 8
Nafasi: Guard
Jina: David Mwakiponda
Miaka:
Urefu: 6'4"
Jezi No: 14
RBA: 8
Nafasi: Center
Jina: Allen Ng'andu
Miaka:
Urefu: 6'1"
Jezi No: 15
RBA: 8
Nafasi: Small Foward

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Evarist Mapunda
Miaka:
Urefu: 5'6"


Nafasi: Asst. Coach
[/TD]
[TD="width: 90"] [/TD]
[TD="class: bodytextBd"] [/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Yusuph Abdul
Miaka:
Urefu: 6.0'
Jezi No: 4
RBA: 3
Nafasi: Point Guard

[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Jije Makani
Miaka:
Urefu: 6.4'
Jezi No: 5
RBA: 8
Nafasi: Forward
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Micheal Mwita
Miaka:
Urefu:
Jezi No: 12
RBA:
Nafasi: Shooting Guard[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="class: bodytextBd, width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Dassy Makulla
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 9
RBA: 5
Nafasi: Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="class: bodytextBd, width: 90"] [/TD]
[TD="class: bodytextBd"] [/TD]
[/TD]
 
JKT

[TD="class: bodytextBd"]
Jina: Juma Kisoky
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 4
RBA: 4
Nafasi: Power Foward
Jina: Frank Kusiga
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 5
RBA: 5
Nafasi: Point Guard
Jina: Godfrey Chrisant
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 15
RBA: 1
Nafasi: Power Forward
Jina: Yusuph Ally
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 14
RBA: 4
Nafasi: Power Foward
Jina: Gilbert Batungi
Miaka:
Urefu: 6'5"
Jezi No: 10
RBA: 3
Nafasi: Center
Jina: Tumsifu Apolo
Miaka:
Urefu: 6'7"
Jezi No: 11
RBA: 4
Nafasi: Center
Jina: Mkumbo Mgendi
Miaka:
Urefu: 6'3"
Jezi No: 12
RBA: 5
Nafasi: Power Forward
Jina: Charles Makene
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 8
RBA: 6
Nafasi: Small Forward
Jina: Himid Esmail
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 7
RBA: 3
Nafasi: Small Forward
Jina: Philibert Mwaipungu
Miaka:
Urefu: 5'7"
Jezi No: 15
RBA: 1
Nafasi: Point Guard
Jina: Ashraf Harun
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 13
RBA: 5
Nafasi: Point Guard
Jina: Frank Simkoko
Miaka:
Urefu: 6'1"
Jezi No: 9
RBA: 9
Nafasi: Shooting Guard

[TD="class: bodytextBd"]Jina:Tubert Matiku
Miaka:
Urefu: 6'
Nafasi: Coach [/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Sasi Samuel
Miaka:
Urefu: 5'8"
Nafasi: Asst. Coach
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Abdalah Juma
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 6
RBA: 4
Nafasi: Point Guard[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Francis Mlewa
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 7
RBA: 2
Nafasi: Shooting Maker[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[/TD]
 

[TD="width: 12"][/TD]
[TD="class: header"] ABC
[/TD]

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext, width: 457"]
Jina: Daniel Singano
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 11
RBA:1
Nafasi: Post
Jina: Emmanuel Mahenya
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 14
RBA: 1
Nafasi: Strong Foward
Jina: Frank Kavalambi
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 8
RBA: 8
Nafasi: Strong Foward
Jina: Haleluya Kavalambi
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 10
RBA: 7
Nafasi: Shooting Guard
Jina: Lucas Peter
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 17
RBA: 1
Nafasi: Small Foward
Jina: Mohammed H. Kasuwi
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 7
RBA: 7
Nafasi: Small Foward
Jina: Ntibasana Nongwe
Miaka:
Urefu: 6'3"
Jezi No: 12
RBA: 2
Nafasi: Big
Jina: Salehe Kilindo
Miaka:
Urefu: 5"8"
Jezi No: 9
RBA: 2
Nafasi: Big
Jina: Victor Stancelous Kasuwi
Miaka:
Urefu: 5'7"
Jezi No: 15
RBA: 1
Nafasi: Guard
Jina: Ronwald Mbawala
Miaka:
Urefu: 5'5"
Jezi No: 6
RBA: 2
Nafasi: Point Guard

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina:John Golitha
Miaka:
Urefu:


Nafasi: Asst. Coach[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Ramadhan Halubo
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 4
RBA: 1
Nafasi: Point Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Aenea E. Saanya
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 15
RBA: 4
Nafasi: Center
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Amani S. Kitomari
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 8
RBA: 1
Nafasi: Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Benjamin Nyansuki
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 13
RBA: 1
Nafasi: Guard

[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Christopher George
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 13
RBA:1
Nafasi: Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Daniel Mwakalinga
Miaka:
Urefu: 5'5"
Jezi No: 13
RBA: 2
Nafasi: Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"] [/TD]
[/TD]
Kwenye Red Jamaa bado yupo juu na ni Refaree na Mchezaji Yupo JKT Sikuhizi
 


[TD="width: 12"][/TD]
[TD="class: header"]CARGO[/TD]

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Dominic Zakaria
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 12
RBA: 1
Nafasi: Guard
Jina: Frank Idd
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 9
RBA: 1
Nafasi: Post Player
Jina: David John
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 15
RBA: 1
Nafasi: Guard
Jina: Dominic Mwalusito
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 8
RBA: 1
Nafasi: Guard
Jina: Lucas Kasanga
Miaka:
Urefu: 5'1"
Jezi No: 4
RBA: 1
Nafasi: Guard
Jina: Gerald Baru
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 11
RBA: 5
Nafasi: Guard

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Vinter Somboko
Miaka:
Urefu: 5'7"

Nafasi: Coach
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Emmanuel Lambert
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 6
RBA: 6
Nafasi: Point Guard(cpt)
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Upendo Rodman
Miaka:
Urefu: 5'7"
Jezi No: 16
RBA: 1
Nafasi: Guard

[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Azalia Bigambo
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 7
RBA:3
Nafasi: Post Player
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Baker Nassor
Miaka:
Urefu: 5'2"
Jezi No: 5
RBA: 6
Nafasi: Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Benard Balua
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 13
RBA: 6
Nafasi: Point Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Jenga Mapunda
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 15
RBA: 6
Nafasi: Guard
[/TD]
[TD="width: 90"] [/TD]
[/TD]
Hapo Majura hakuwepo naona jkt walikuwa wamemtight School
 
OILERS

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Jeremiah Joseph
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 15
RBA: 4
Nafasi: Shooting Guard
Jina: Joseph Ntandu
Miaka:
Urefu: 5'
Jezi No: 4
RBA: 2
Nafasi: Point Guard
Jina: Justine Hoza
Miaka:
Urefu: 6'5"
Jezi No: 6
RBA: 3
Nafasi: Strong Forward
Jina: Lusajo Samuel
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 12
RBA: 5
Nafasi: Post Player
Jina: Andrew Ntandu
Miaka:
Urefu: 5'6"
Jezi No: 7
RBA: 3
Nafasi: Power forward
Jina: Nicholous Leonard
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 14
RBA: 7
Nafasi: Power Forward
Jina: Okare Emesue
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 8
RBA: 3
Nafasi: Point Guard

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Frank Mhina
Miaka:
Urefu: 5'11"


Nafasi: Asst. Coach

[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Martin Warioba
Miaka:
Urefu: 6'3"
Jezi No: 10
RBA: 7
NAfasi: Foward Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Philip Haule
Miaka:
Urefu: 5'6'
Jezi No: 5
RBA: 6
Nafasi: Point Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Pius Seni
Miaka:
Urefu: 5'
Jezi No: 9
RBA: 3
Nafasi: Point Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: David Bartazar
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 13
RBA: 3
Nafasi: Shooting Guard
[/TD]

[/TD]
 

[TD="class: header"] CHANGOMBE BOYS
[/TD]

[TD="class: bodytext"]
Jina: Jovine Malekani
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 15
RBA : 4
Nafasi: Guard
Jina: Leon Exon
Miaka:
Urefu: 6'4"
Jezi No: 10
RBA: 6
Nafasi: Center
Jina: Amani Temba
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 8
RBA: 7
Nafasi: Shooting Guard
Jina: Mohammed Mbwana
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 4
RBA: 5
Nafasi: Foward

[TD="class: bodytextBd"] Jina: Jaji Kasoga
Miaka:
Urefu: 5'8"

Nafasi: Coach
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Adam Jegame
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 6
RBA: 7
Nafasi: Shooting Guard[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Amani Kitojo
Miaka:
Urefu: 5'7"
Jezi No: 8
RBA: 4
Nafasi: Piont Guard[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Barnabas Malekani
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No:11
RBA: 3
Nafasi: Guard[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Fred Chacha
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 13
RBA: 9
Nafasi: Small Forward[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBdRed"]Jina: Zwalo Makani
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 7
RBA: 3
Nafasi: Guard[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[/TD]

Kwenye Red hapo Wengi kwa Sasa Mnamfahamu alipogeuka na kuwa Mwanamuziki wa Kizazi Kipya Bongo Flava Mr Temba
 


[TD="width: 12"][/TD]
[TD="class: header"] ILALA FLATS[/TD]

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Shomari Almas
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 7
RBA:4
Nafasi: Center
Jina: Sadik Salim
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 10
RBA: 1
Nafasi: Perimeter
Jina: Charles Mbaga
Miaka:
Urefu: 6'2"
Jezi No: 9
RBA: 1
Nafasi: Center

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Hagai Zablon
Miaka:
Urefu: 6'5"


Nafasi: Coach
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Felix Derick
Miaka:
Urefu: 5'5"
Jezi No: 8
RBA: 1
Nafasi: Point Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Habel Uledi
Miaka:
Urefu: 5'
Jezi No: 11
RBA: 1
Nafasi: Strong Foward

[/TD]
[TD="width: 90"]

[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Issa Abdul
Miaka:
Urefu: 6'
Jezi No: 14
RBA: 1
Nafasi: Center
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBdRed"]Jina: Habe Kitine
Miaka:
Urefu: 5'5"
Jezi No: 4
RBA: 1
Nafasi: Point Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Hamis Said
Miaka:
Urefu: 5'5"
Jezi No: 5
RBA: 1
Nafasi: Post Player
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Charles Msaki
Miaka:
Urefu: 6'5"
Jezi No: 13
RBA: 1
Nafasi: Center
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Eliabu Minja
Miaka:
Urefu: 5'9"
Jezi No: 6
RBA: 3
Nafasi: Small Foward
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Muhidin Hassan
Miaka:
Urefu: 5'2"
Jezi No: 12
RBA: 1
Nafasi: Shooting Guard
[/TD]
[/TD]
 

[TD="width: 12"]


[/TD]
[TD="class: header"]TEAM T.M ROCKETS

[/TD]

[TD="width: 15"] [/TD]
[TD="class: bodytext"]
Jina: Aziz Seleman
Miaka:
Urefu: 6'5"
Jezi No: 9
RBA: 2
Nafasi: Guard
Jina:John Mwita
Miaka:
Urefu: 5'6"
Jezi No: 10
RBA: 4
Nafasi: Shooting Guard

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"] Jina: Micheal Mwita



Nafasi: Coach
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Steven Chale
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 4
RBA: 2
Nafasi: Point Guard
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Christopher Temba
Miaka:
Urefu: 5 '6"
Jezi No: 8
RBA: 1
Nafasi: Point Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Amiry Omary
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi: 13
RBA: 3
Nafasi: Point Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]

[TD="class: hint, width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: David Samwel
Miaka:
Urefu: 5'8"
Jezi No: 15
RBA: 2
Nafasi: Shooting Guard
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Robert Harride
Miaka:
Urefu: 5'11"
Jezi No: 11
RBA: 3
Nafasi: Post Giard
[/TD]

[TD="class: hint, width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Shabani Hamis
Miaka:
Urefu: 5'2"
Jezi No: 5
RBA: 2
Nafasi: Foward
[/TD]
[TD="width: 90"]
[/TD]
[TD="class: bodytextBd"]Jina: Sossy Rusimbi
Miaka:
Urefu: 5'10"
Jezi No: 10
RBA: 7
Nafasi: Offense Guard
[/TD]
[/TD]
 
Mchezaji bora Kili Super Cup 2004

[TABLE="align: right"]
[TR]
[TD]
Jina: Mohammed Ally
Miaka:
Urefu: 6'3"
Jezi No: 10
RBA: 6
Nafasi: Small Foward
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: bodytextBd"]Haya bwana kamata na uthibitisho kabisa ukaweke kabatini kwako, kwamba wewe ndie ulikuwa Most Valuable Player (MVP) wa Kili Super Cup mwaka 2004 ndivyo anavyoonekana kusema mgeni rasmi.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
KILA mchezaji alikuwa na hamu ya kutaka kujua nani atatangazwa kuwa ni mchezaji bora wa mashindano ya Kili Super Cup 2004 ambayo sasa yanajulikana kama Mbamba Kili Super Cup.

Wachezaji walikuwa roho juu, hasa wakati mtangazaji wa shughuli alipokuwa tayari kumtangaza huyo bora wa mwaka huu.

Swali kwa kila mmoja lilikuwa ni nani atakuwa kinara, wengi wana uwezo na walionyesha vipaji wakati wa michuano hiyo bora kabisa, lakini nani sasa?

Kwani pamoja na ubora ambaye angefanikiwa kutwaa taji hilo la ubora, kitita cha Sh milioni mbili kilikuwa kinamsubiri, du!

Baada ya mtangazaji wa shughuli kurudia mara kadhaa mwa mbwembwe na mashabiki wakihimiza huyo MVP wa Kili Super Cup atajwe "Mtajeee" wakilipuka kwa kelele, naye bila ajizi akataja jina.

"MVP wa Kili Super Cup 2004 ni kutoka timu ya Vijana," alisema na mashabiki walianza kutabiri huenda ni mchezaji wao mwingine mahiri Abdallah Ramadhan
'Dulla'.

Lakini walikosea, kwani walionekana kusahau makali ya mkali mwingine wa City Bulls, Mohammed Ally 'Dibo' ambaye baada ya kutajwa jina lake kila mmoja alikubali kuwa alikuwa anastahili.

Dibo alikuwa anacheza kwa mara ya sita katika shindano la Kili Super Cup na ametoa mchango mkubwa kwa Vijana kutawazwa kwa mara ya tatu, kuwa wafalme wa Kili Super Cup 2004.

Inawezekana kabisa mechi ya fainali dhidi ya JKT ndiyo iliyomuongezea pointi nyingi hadi kuibuka MVP.

Dibo alionyesha uwezo mkubwa kwa kuwatoka madui kwa kasi na kwenda kutumbukiza mpira kwenye kikapu.

Shindano hilo limedhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake, Kilimanjaro ambayo imekuwa ikilifanya liendelee kuonekana ni bora zaidi.

Baada ya mechi hiyo, Dibo alisema amepata furaha kubwa mno kutangazwa yeye ndiye MVP hasa kwa kuwa tayari walikuwa wamefanikiwa kutangazwa ndiyo wafalme.

"Nina furaha kubwa mno na nina imani nina haki ya kuwa na furaha namna hii ukizingatia sisi ndiyo mabingwa wapya," alisema.

Alisema nia yake ni kuweka rekodi kwa kuwa mchezaji bora kwenye mchuano mingine migumu ya mpira wa kikapu ya RBA Kili.

"Nataka nifanikiwe zaidi kama ikiwezekana niwe pia MVP wa ligi ya wanaume ya Kili RBA na hata MVP wa All Stars kama itawezekana kwa huku Vijana ikipata
mafanikio zaidi," alisema Dibo.

Dibo anakuwa mchezaji wa tatu wa Vijana kutwaa tuzo ya MVP ya Kili Super Cup baada ya Obasanjo Zeno mwaka 1996 na Abdallah Ramadhan 'Dulla' aliyeshinda katika miaka ya 1998 na 2000.

Wengine waliowahi kutwaa tuzo hiyo ni marehemu John Ntambwe wa Pazi mwaka 1997, Masero Nyirabu wa Savio mwaka 1999, Frank Kusiga wa JKT aliyeshinda miaka ya 2001 na 2003 na Michael Mwita wa Savio mwaka 2002.

ORODHA KAMILI YA MVP WA KILI SUPER CUP
MWAKA MCHEZAJI TIMU
1996 Obasanjo Zeno Vijana
1997 John Ntambwe Pazi
1998 Abdallah Ramadhan Vijana
1999 Masero Nyirabu Savio
2000 Abdallah Ramadhan Vijana
2001 Frank Kusiga JKT
2002 Michael Mwita Savio
2003 Frank Kusiga JKT
2004 Mohamed Ally Vijana
 
Marekani yakikubali kikapu Dar

AFISA wa Ubalozi wa Marekani, David Colvin amesema kwamba kiwango cha mpira wa kikapu mjini Dar es Salaam kipo tofauti na alivyofikiria.

Colvin ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mechi za fainali ya Kili Super Cup 2004 iliyofanyika juzi kwenye Uwanja wa ndani wa Taifa, Dar es Salaam alisema kwamba japo ilikuwa mara yake ya kwanza kuhudhuria mchezo huo nchini lakini ameridhishwa na kiwango alichokiona.

"Hii ni mara yangu ya kwanza kutazama mpira wa kikapu Tanzania, na nimevutiwa na kiwango cha uchezaji wa timu zote, nawapongeza mabingwa na timu zote zilizoshiriki. Wameonyesha nidhamu, taaluma na mchezo wa kiungwanana,"alisema.

Aidha, Colvin aliwapongeza wadhamini bia ya Kilimanjaro kwa jithada zake za kuendeleza mchezo huo hapa nchini.
 
Milioni 6.5 ndani ya wiki sio mchezo - Kilumanga

[TABLE="align: right"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: caption"]Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Bi. Sauda Simba Kilumanga, siku alipoongea na Kilitime kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa, Jijini Dar es Salaam.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kilitime, ilipata nafasi ya kuongeana wadhamini wa michuano ya Mbamba's Kili Super Cup 2004, ambapo iliweza kuongea na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Bi. Sauda Simba Kilumanga ambae tuliweza kuongea mambo mengi yahusikanayo na mchezo huu maarufu sana miongoni mwa vijana nchini pote.

Bi. Kilumanga ambae muda wote wa maongezi yetu alikuwa mwingi wa furaha akielezea mafanikoambayo, Kampuni yake ya TBL imeyapata kwa kudhamini mchezo huu kupitia bia ya Kilimanjaro Premium Lager, alisema mtazamo wa Kampuni yake kwa sasa ni kuupeleka mchezo huo nchi nzima, hapa anajibu baadhi ya maswali tuliyomuuliza.
Kilitime; hii ni Super Cup yenu ya nane sasa, unaweza kutueleza nini mafanikio yenu kwa mchezo huu Jijini Dar es Salaam, unaonaje mwelekeo yenu sasa?
Bi. Sauda Simba Kilumanga; kwanza kabisa ninachoweza kusema ni kwamba zawadi ya shilingi milioni sita na laki tano (6.5 ml.) kwa mshindi wa michuano hii ambayo inachezwa kwa kipindi cha wiki moja tu ni mafanikio makubwa sio kwetu sisi tu, bali pia kwa maeendeleo ya mchezo wenyewe Jijini hapa.
Bi. Kilumanga anaendelea kusema kuwa, sio hivyo tu michuano yenyewe kama ambavyo wenyewe mnaiona, imekuwa ya kitaalam zaidi (Very Professional), wachezaji wanapata karibu kila kitu hii sio katika Super Cup tu peke yake, bali pia katika michuano ya ligi ya mpira wa kikapu Jijini Dar es Salaam ambayo sisi ni wadhamini.
Bi. Kilumanga, amesema kuwa katika kipindi hicho chote cha udhamini wao wameendelea kupata ushirikiano wa juu kabisa na vyama vya mchezo huo vya nchi jirani, kama vile Chama cha mchezo wa kikapu nchini Kenya na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Congo (DRC), hawa wametusaidia kwa kiasi kikuwa kukuza mchezo huu Jijini.
Kilitime; Mbamba Kili Super Cup na RBA Kili zote ni za kimkoa zaidi licha ya ukweli kwamba Bia yako ya Kilimanjaro inanyweka nchi nzima, kuna mipango yeyote ya kufanya moja ya michuano hii kuwa wa Kitaifa?
Bi. Kilumanga; ni mipango yetu ya mbele kuona kwamba michuano yote ya mpira wa kikapu ambayo sisi tumekuwa wadhamini inachukua sura ya kitaifa, lakini hii haitokei tu mchana kutwa, inahitajika mipango safi na yenye mustakabari mzuri ilikuona kwamba hatukurupuki na kufanya mambo ya ajabu ambayo yatakuwa sawa na kupoteza fedha bure.
Hapa nina maana kwamba tunahitaji kuwa na uongozi safi pale juu kwa sababu sisi hatuwezi kufanya kazi za kusimamia mchezo wenyewe, kama inavyoeleweka sisi sio wasimamizi wa michezo, hivyo maongezi na vyama vya mchezo huu mikoani yanaendelea na kwa wakati muafaka tutawatangazia nini kinafuata.
Kilitime; Bi. Kilumanga, unafikiri ni wakati muafaka sasa kwenu ninyi kama wadhamini kuzishirikisha timu za wanawake katika Mbamba Kili Super Cup?
Bi. Kilumanga; ni kweli timu za wanawake Jijini Dar es Salaam zimeendelea kufanya vizuri sana katika ligi ya RBA, na kwamba kila mwaka tumekuwa tukijionea maendelea mazuri sana kwa upande wao, lakini kama ambavyo nilivyojibu hapo juu, lengo hasa ni kuyafanya mashindano haya kuwa ya kitaifa zaidi, 'that is our major objective in the coming future' (anasisitiza Sauda Simba Kilumanga).
Kilitime; nini maoni yako kuhusiana na timu kuleta wachezaji kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kushiriki michuano hii?
Bi. Kilumanga; pamoja na ukweli kwamba swali hili lipo mikononi mwa DARBA kwa sehemu kubwa, lakini naamini kabisa zoezi hilo limefanikiwa sana, wachezaji wetu wameweza kufunguliwa macho angali mchezaji kama Abdalah Ramadhani Dulah, huyu ameweza kupata nafasi ya kucheza kikapu nchini Shelisheli naamini alipewa changamoto kubwa na wachezaji hawa kutoka nje ya nchi, hivyo ni wazo zuri
Kilitime; nini umekuwa mchango wa Kili Street Ball, katika maendeleo ya mchezo huu Jijini Dar es Salaam?
Bi. Kilumanga; Kili Street Ball, ni moja ya mafanikio makubwa yetu sisi na DARBA kwa maana ya kwamba kwa kiasi kikubwa tumewaleta vijana wa Tanzania pamoja kwamba, badala ya kijana wa Tanzania kukaa mtaani tu na kufanya mambo ambayo si ya manufaa kwake na taifa sisi tumejitahidi kumpelekea kitu cha kumfanya achangamshe akili na mwili wake mtaani kwake, hayo ni mafanikio makubwa.
Kilitime; swali la mwisho, ungependa timu ipi itwae ubingwa katika fainali hizi za leo;
Bi. Kilumanga; kicheko, kisha anamaliza kwa kusema kuwa, wao ni wadhamini wa mchezo huu hivyo timu yeyote kati ya sita na baadae nne zilizotinga katika hatua muhimu kuelekea kutwaa ubingwa wangefurahi kuona inaondoka na donge nono hilo la ubingwa wa Mbamba Kili Super Cup.

Mko wapi siku hizi Kili?
 
Matiku kocha bora Kili Super

[TABLE="align: right"]
[TR]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
PAMOJA na timu yake kuchapwa na Vijana katika mchezo wa fainali, Tubert Matiku juzi alijifariji na tuzo ya kocha bora wa Kili Super Cup 2004.

Matiku alitajwa kwamba kocha wa mshindano hayo baada mchezo huo, lakini hakuwa mwenye furaha sana kwa sababu kumbukumbu ya kipigo cha Vijana ilikuw abado imo kichwani mwake.

Kwa kuwa kocha bora, Matiku atapata donge nono la sh 800,000 sawa na mlinzi bora wa mashindano hayo, Franklin Simkoko kutoka timu yake, JKT.

Mwaka huu, MVP ataendelea kupata Sh 2,000,000, mfungaji bora Sh 800,000, Mlinzi bora 800,000, Kocha bora 800,000 na timu yenye nidhamu itazawadiwa Sh
500,000.

Washindi wengine wa vipaji binafsi ni Abdallah Ramadhan "Dulla' ambaye ni hodari wa kudanki, Loo Yele ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa kigeni na Oiler's timu yenye nidhamu.

Charles Makene wa JKT alipata tuzo mbili ambazo ni mfungaji bora wa mitupo ya pointi tatu na mfungaji bora wa mashindano hayo.

Wengine ni Blocker bora Abdallah Kavishe wa Chang'ombe Boys na MVP alikuwa Mohamed Ally 'Dibbo' wa Vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…