Ndio.. tulimchagua wenyewee
You could have done this earlier coz this jamaa aint for Tanzania Development.Mie nimeaanza kusikia njaa..anaboa na nina uhakika hata wabunge wenyewe walishaanza kuboreka,
Amesifia sana TAKUKURU.
Nawaona akina Hosea, Tendwa, Mwamunyange, Mwema wako ndani.
Kasema vita ya rushwa imefanikiwa kwa kiasi kikubwa
anamsifia fisadi
kapa kwamba ameweka msingi mzuri. msingi gani kama si wa ufisadi