Tanzania National Identities (Vitambulisho vya Taifa)

Hizi hela za NIDA si zilipigwa na vitambulisho havijakamilika kwa wananchi bado hadi leo...wamepata wachache ukilinganisha na pesa ndefuu waliopewa.,
 
Kuusaka ukweli ni sawa na kumenya kitunguu, kila ganda litakutoa machozi na utabaki macho
juu.

Ukishafika kwenye kiini niambie nini utagundua, zaidi ya mafaili yaliyounganika utaghairi kuyafunua
 
nida walikuja ofisi ya kata mburahati nikajiandikisha na kupiga picha na proces zote nikamaliza nikaambiwa kitambulisho nitafata ofisi ya kata adi leo cjapata. na cjui nakipata vp
 
Mabasi ya kasi na treni za kazi hizo hapo sasa...
 

Mkuu kuna kuna kitu ulisema hapa kwenye post yako, nandicho kilichotokea.

Kumbe wengi wetu tuliutamani sana utawala wa aina hii lakini kilio chake mbona kimekua kikubwa hivyo.
 
Mkuu kuna kuna kitu ulisema hapa kwenye post yako, nandicho kilichotokea.

Kumbe wengi wetu tuliutamani sana utawala wa aina hii lakini kilio chake mbona kimekua kikubwa hivyo.
Umenenaaa vyemaa bro lkn tambuaa piaaa zoezi lenyewee ni gumu sanaa hilooo vitambulishoo tuu vyenyewe vya uraia watu wengnee walishapigwa na picha lkn mpaka leoo badoo havijatokaa means process zakee ni ndefuu sanaa hadii kikamilikee,so inahitajii mudaa Wa kutoshaa na fedha za kutosha
 
Mjadala huu ulishika kasi miaka 10 iliyopita, lakini utekelezaji wake hadi leo ni wa kusuasua.
Yote yaliyojadiliwa ilikuwa kama ni unabii! Mpaka leo akina Lugola wanahangaika nayo na hawajapata ufumbuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app


Na hakutakuwa na ufumbuzi mpaka huu uvamizi wa Zanzibar uitwao Muungano uishe. Huu uvamizi ni Laana kubwa ambayo haitaiwacha Tanganyika kuitafuna
 
Samahani, hii namba ya cheti chaform four naijaza vipi kwenye hivi vibox hili hali ni vichache kuliko namba
 
Literally hichi kitambulisho sioni maana yake. Expectations zilikua ni kwamba kitambulisho kingeweza kurahisisha baadhi ya mambo. Sahivi unahitaji passport bado ufate procedures za barua kutoka kwa ofisi sijui za mtaa. Wakati upatikanaji wa kitambulisho umefata mlolongo huo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…