Tanzania nchi bora kwa kila jambo

Tanzania nchi bora kwa kila jambo

tufahamishane

Member
Joined
Jun 22, 2024
Posts
28
Reaction score
30
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Usijilinganishe na walioshindwa, jilinganishe na waliofanikiwa.
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Bado hujaelezea in details, umeandika juu juu tu
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
hata kwa umasikini bora tumo 😂🤣......huduma za kijamii duni tumo
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Kwa hiyo kigezo cha amani ndiyo mnakitumia kama kigezo cha kukandamiza haki nyingine za msingi za watu siyo!!
 
Tuna uoga na sio amani
Maandamano yetu ya AMANI ya CHADEMA yalivunja Rekodi kuwa ni Maandamano ambayo hata Nzi hakujeruhiwa.

Tumeshuhudia Majirani zetu Maandamano yao ya GHASIA na UPORAJI na UCHOMAJI MOTO dhidi ya Nchi yao.

Sisi tutaendelea kudai HAKI zetu kwa njia ya AMANI ikibidi tutaenda hadi UN.
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Hizo lugha za wezi ili waibiwa washtuke ili waendele. kuwaibia

Dogo una hofu hu wale uliwaibia wanaweza kuja kuchukua chao

Siku innakuja gene Z ya bongo itafanya mapinduzi
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Kwa vile unashiba ugari basi Tanzania ni nchi bora kuliko zote ulimwenguni. Aliyekuroga wewe ameshakufa.
 
Maandamano yetu ya AMANI ya CHADEMA yalivunja Rekodi kuwa ni Maandamano ambayo hata Nzi hakujeruhiwa.

Tumeshuhudia Majirani zetu Maandamano yao GHASIA na UPORAJI na UCHOMAJI MOTO dhidi ya Nchi yao.

Sisi tutaendelea kudai HAKI zetu kwa njia ya AMANI ikibidi tutaenda hadi UN.
Maandamano n lazima kuwe na mabomu ya machozi na ghasia tofauti na hvy bc hy n jogging
 
Kwanza jifunze kuandika vizuri alafu tafuta point za ushawishi na jambo lako
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Umerogwa wewe, sio bure!
 
Nirahisi kuibeza Tanzania kwasababu una Amani. Kuna nchi hata mahali pakusemea hapapo. Kila siku ni maangaiko ya risasa mabomu ya kutoa machozi

Tanzania Sisi nikicheko. Tukishiba ugari tunaanza maneno. Fikilia ungezaliwa nchi zenye Vita ungekuwa wapo. Ebu fikilia wakimbizi wanavyoteseka wewe unalala na kushiba unalala kwenye Amani.
Watanzania tumushukru Mungu kwa kuwa na Amani na utu
Pumbavu
 
Back
Top Bottom