Wana discourage tusitununue screpa mkuuWakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Wakuu
Ukijaribu kuangalia kwa umakini mfumo wetu wa kodi ni wakijinga sana na hautotusogeza mbele.
Gari kwa Tanzania ni Anasa tena anasa kubwa sana.
Unanunua gari milioni tano eti uandae na kodi milioni tano nyingine.
Hii sio sawa na walioweka hiyo kanuni kwenye kikokotoo naona wao haliwagusi.
Watu wanaponunua magari kikubwa yawe yale yenye ubora tayari mzunguko wa mafuta utaongezeka na huko wewe kama serikali utakusanya kodi pia ya kutosha.
Kodi inapokua juu ndio maana watu hawanunui magari na hapo wigo wa mapato unapungua kisa uzembe uzembe tu.
Sasa si ndiyo tutanunua magari ya kueleweka mzee baba?Wana discourage tusitununue screpa mkuu
Wakipunguza kodi barabarani itakuwa vituko
Japani kuna gari hadi ya dola 600 [emoji2][emoji2]
Watanzania tunsvyopenda cheap barabara zitajaa mikebe
Wana discourage tusitununue screpa mkuu
Wakipunguza kodi barabarani itakuwa vituko
Japani kuna gari hadi ya dola 600 [emoji2][emoji2]
Watanzania tunsvyopenda cheap barabara zitajaa mikebe
Kwa akili za mtanzania sifikiri kama watakuwa wanawaza kama wewe mkuuSasa si ndiyo tutanunua magari ya kueleweka mzee baba?
Maana kama ninanunua gari ya $10000 na kodi yake $10000 si nitaziwekaa pamoja nichukue kitu cha maana.
Nimeona nchi zenye kodi ndogo ya magari Africa Toyota unahesabu barabarani.
Mkuu hii hesabu ya 2 na 4 kuja 7 mbona sijaielewa?Kuna tatizo sehemu gari inauzwa 2,000,000. Na kodi 4,000,000.jumla 7,000,000 nchi hii shida vyanzo vya kodi ni vilevile.
EasyMkuu hii hesabu ya 2 na 4 kuja 7 mbona sijaielewa?
Ni swala tu la kusema kuwa magari ya kuanzia 2005 ndio yataingia nchini na kodi inapunguzwa kwa magari ya aina hiyoWana discourage tusitununue screpa mkuu
Wakipunguza kodi barabarani itakuwa vituko
Japani kuna gari hadi ya dola 600 [emoji2][emoji2]
Watanzania tunsvyopenda cheap barabara zitajaa mikebe
Kwa kuongezea Malawi, Zambia,Burundi,Congo na Rwanda wangekuwa wanakuja kununua magali katika show room za hapa Tanzania badala ya kuagiza moja kwa moja JapanTunanunua magari chakavu sababu pesa nyingi inaenda kwenye ushuru, ingekuwa ushuru uko chini;
1. Yangenunuliwa magari mapya/bora zaidi
2. Uchafuzi wa mazingira ungepungua
3. Screpa mtaani zingepungua
4. Ajali barabarani zingepungua
5. Uhakika wa safari ungekuwa mkubwa
6. Wigo wa mapato ungepanuka
7. Na mengine kibao......
Ndiyo maana Serikali ya hii nchi haifanikiwi. Wanapenda kuvuna wasipopanda. Hadi waache dhuluma kama hizi ndipo watafanikiwa. Yaani wenzao wabuni magari halafu wao ndiyo watake kula kuliko waliobuni na kutengeneza