Tanzania nchi ya asali na maziwa

Tanzania nchi ya asali na maziwa

komora096

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2018
Posts
20,548
Reaction score
5,647
Ingelikua kenya hapo jamaa wangelipiga kelele hapa, ona sasa mnavyoumbuka kw kujisifia ujinga..
RIP[emoji24]

Screenshot_20200608-160743_Lite.jpg
 
Lkn kilichowaponza umbali wa uwepo wa maji, halafu unakuta wengine wanapiga kelele eti tanzania mko vizuri hyo sekta
Speaking of water,most villages across Africa still lag behind. Water sources aren't easily accessible! Sasa katika harakati za kupata maji ndo majanga kama hayo yanatokea.

Hapo ni kukazana kuboresha tu. Sio kwamba kuna sehemu ina afadhali saana.
 
Lkn kilichowaponza umbali wa uwepo wa maji, halafu unakuta wengine wanapiga kelele eti tanzania mko vizuri hyo sekta
Nakubaliana nawe Vijijini bado hali ya maji si shwari, hata wale wanaojitahidi kiuchumi utakuta wanafanikiwa kuleta maji hadi nje ya nyumba zao na kuweka tap au wanachimba Visima, ni wachache sana wanafanya plumbing indoor.

Japo kwa Kenya kesi ni tofauti maana Nairobi penyewe maji ni Dhahabu, sipati picha huko Masabit na Garisa, watu lazima mnakunywa mikojo ya Punda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili limepatikana kimakosa, taarifa kama hizi zinapaswa kufichwa, mwandishi itasemekana sio mzalendo[emoji23], wengine humu wanafikiri Tz ni mahali yeye anakoishi, hajui kuna wengi wao wanakula tabu sana kwingineko. They need media reforms la sivyo hawakomboleki kiuchumi, only propaganda rules their mind.
Ingelikua kenya hapo jamaa wangelipiga kelele hapa, ona sasa mnavyoumbuka kw kujisifia ujinga..
RIP[emoji24]

View attachment 1472100
 
Hili limepatikana kimakosa, taarifa kama hizi zinapaswa kufichwa, mwandishi itasemekana sio mzalendo[emoji23], wengine humu wanafikiri Tz ni mahali yeye anakoishi, hajui kuna wengi wao wanakula tabu sana kwingineko. They need media reforms la sivyo hawakomboleki kiuchumi, only propaganda rules their mind.
Your mind needs serious revolution!
 
Kenya water companies are in another level, Nairobi maji ipo ni population imekua kubwa but plumbing infrastructure ni ya kitambo, needs overhaul to meet the demand. Sasa wewe nchi yako bado sana, all towns have connected tap water to the estates, hadi mashambani kwetu, shughulikia hali yenyu. sasa wewe na hiyo fikra yako m utasema South Africa wanakunywa mkojo wakati maji inapotea ata mwezi mzima kule Capetown?
Nakubaliana nawe Vijijini bado hali ya maji si shwari, hata wale wanaojitahidi kiuchumi utakuta wanafanikiwa kuleta maji hadi nje ya nyumba zao na kuweka tap au wanachimba Visima, ni wachache sana wanafanya plumbing indoor,
Japo kwa Kenya kesi ni tofauti maana Nairobi penyewe maji ni Dhahabu, sipati picha huko Masabit na Garisa, watu lazima mnakunywa mikojo ya Punda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya water companies are in another level, Nairobi maji ipo ni population imekua kubwa but plumbing infrastructure ni ya kitambo, needs overhaul to meet the demand. Sasa wewe nchi yako bado sana, all towns have connected tap water to the estates, hadi mashambani kwetu, shughulikia hali yenyu. sasa wewe na hiyo fikra yako m utasema South Africa wanakunywa mkojo wakati maji inapotea ata mwezi mzima kule Capetown?
Nakubaliana nawe Vijijini bado hali ya maji si shwari, hata wale wanaojitahidi kiuchumi utakuta wanafanikiwa kuleta maji hadi nje ya nyumba zao na kuweka tap au wanachimba Visima, ni wachache sana wanafanya plumbing indoor,
Japo kwa Kenya kesi ni tofauti maana Nairobi penyewe maji ni Dhahabu, sipati picha huko Masabit na Garisa, watu lazima mnakunywa mikojo ya Punda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya water companies are in another level, Nairobi maji ipo ni population imekua kubwa but plumbing infrastructure ni ya kitambo, needs overhaul to meet the demand. Sasa wewe nchi yako bado sana, all towns have connected tap water to the estates, hadi mashambani kwetu, shughulikia hali yenyu. sasa wewe na hiyo fikra yako m utasema South Africa wanakunywa mkojo wakati maji inapotea ata mwezi mzima kule Capetown?
Kama Nairobi hakuna maji it is easy for me to conclude that the entire Kenya is thirsty, Dar habari ya Maji tulishaisahau, Na mikoani ndio rahisi kabisa.

We are now upgrading the database and the system with installation of prepaid services to all users, Kwetu Iringa ndio Pilot now the whole Tz will go for prepaid water services just Like Electricity,
Kenyans hadi leo mko na Leseni za Vitabu, very outdated

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili limepatikana kimakosa, taarifa kama hizi zinapaswa kufichwa, mwandishi itasemekana sio mzalendo[emoji23], wengine humu wanafikiri Tz ni mahali yeye anakoishi, hajui kuna wengi wao wanakula tabu sana kwingineko. They need media reforms la sivyo hawakomboleki kiuchumi, only propaganda rules their mind.
Wewe kichwa yako ndio iko mbaya, hakuna taarifa yoyote inayofichwa Tanzania, vyombo vya habari au mitandao ya Kijamii inafanya kazi yake kwa mujibu wa sheria. Ukweli ni kwamba Tanzania haina matatizo mengi lakini yanapojitokeza kama hivi huwa yanaripotiwa.

Kitendo cha kwamba taarifa za matukio mabaya ni machache ukilinganisha na Kenya ambako kila siku yanatokea na kuripotiwa, ndio ninyi mnatafsiri kwamba yanafichwa.

Mauaji ya Kibiti ni mfano mzuri sana, yalikua yanaripitiwa kila siku hadi yalipokwisha, kwanini hayakufichwa?, Serikali ya Kenya hadi Leo imekataa kutaja idadi kamili ya wanajeshi walioiliwa katika shambulizi la El-Ade kule Somalia, kwanini hatusemi hakuna Uhuru wa habari?
 
Kenya water companies are in another level, Nairobi maji ipo ni population imekua kubwa but plumbing infrastructure ni ya kitambo, needs overhaul to meet the demand. Sasa wewe nchi yako bado sana, all towns have connected tap water to the estates, hadi mashambani kwetu, shughulikia hali yenyu. sasa wewe na hiyo fikra yako m utasema South Africa wanakunywa mkojo wakati maji inapotea ata mwezi mzima kule Capetown?
CapeTown ilitokana na ukame, sasa hivi kila kitu kipo sawa, hakuna tena tatizo la MAJI, na hata kulipokua na tatizo la MAJI hawakupata ugonjwa wa Kipindupindu, ninyi tatizo la MAJI na kipindupindu hayajawahi kwisha, iwe ni ukame au ni mvua. Kenya ni nchi ya hivyo sana.
 
Kama Nairobi hakuna maji it is easy for me to conclude that the entire Kenya is thirsty, Dar habari ya Maji tulishaisahau, Na mikoani ndio rahisi kabisa,
We are now upgrading the database and the system with installation of prepaid services to all users, Kwetu Iringa ndio Pilot now the whole Tz will go for prepaid water services just Like Electricity,
Kenyans hadi leo mko na Leseni za Vitabu, very outdated

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tafuta hio kabla nikuumbue
Screenshot_20200608-231512.png
 
Lkn kilichowaponza umbali wa uwepo wa maji, halafu unakuta wengine wanapiga kelele eti tanzania mko vizuri hyo sekta
Tanzania kubwa usifikir Kama hiko kinchi chenu kuna sehem ukienda wala hujui Kama bado upo Tanzania,na sehem zingine vijijini Sana Yani polini unaweza kuta Kijiji hata nyumba20 hazifiki unazani utakosa wanyama wakal sehem Kama hizo? La pili vipi Kwan ushaolewa? samahani nataka kujua
 
CapeTown ilitokana na ukame, sasa hivi kila kitu kipo sawa, hakuna tena tatizo la MAJI, na hata kulipokua na tatizo la MAJI hawakupata ugonjwa wa Kipindupindu, ninyi tatizo la MAJI na kipindupindu hayajawahi kwisha, iwe ni ukame au ni mvua. Kenya ni nchi ya hivyo sana
!
Top 10 Countries Without Clean Water
1.Ethiopia
Almost 60 percent of the population in Ethiopia lacks basic access to drinking water. Half of those without basic access are drinking from water that is more than likely or certainly contaminated, like hand-dug wells, unprotected natural springs, ponds, and more.

2.Papua New Guinea
In Papua New Guinea, 51 percent of the population drinks surface water. That’s water from ponds, lakes, rivers, swamps, and springs, among other locations. Sanitation challenges follow. In Papua New Guinea, 87% of the population lacks basic sanitation services, meaning they don’t have a toilet of their own.

3.The Republic of Chad
JMP reports that 61 percent of people in Chad are without basic water access and 67 percent of the country is practicing open defecation. This means that those with toilets or pit latrines are in the minority in Chad, and more than half of the population doesn’t have adequate water access.

7.United Republic of Tanzania
About 43 percent of Tanzania lacks basic access to safe drinking water. Fourteen percent of the country, over 8 million people, are drinking surface water to survive.

😂😂😂😂😂 Namba 7 mgongoni Kama kawaida.
How Many Countries Don’t Have Clean Water? Top 10 List and Facts
 
Tanzania kubwa usifikir Kama hiko kinchi chenu kuna sehem ukienda wala hujui Kama bado upo Tanzania,na sehem zingine vijijini Sana Yani polini unaweza kuta Kijiji hata nyumba20 hazifiki unazani utakosa wanyama wakal sehem Kama hizo? La pili vipi Kwan ushaolewa? samahani nataka kujua
Alaaa!! Kumbe zile pumba pumba eti maji safi nchi nzima mnalishwa matango pori..
Kw nchi km tanzania ni ajabu sana, mito, maziwa vyote vya kumwaya..lkn mnakwama wapi jamani majirani
 
Halafu kama kuna mnyama nachukia ni fisi, lipumbavu sana lile, yaani huanza kukutafuna ukiwa hai bora hata simba anayekuua kwanza.

Jameni Tanzania inaitia aibu Afrika, huu umaskini wao utapungua lini kwa kweli. Wana madini na kila kitu, vyote vinachukuliwa na mabeberu kizembe tu, jamaa wameshindwa ujanja kwenye kila nama, wazembe sana hawa.
 
Back
Top Bottom