MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Leo naandika ni mwezi wa 3 mwaka 2021 Nchi ya Tanzania haina kiwanda cha;
~Mbolea
~Mbegu
~Utengenezaji matrekta.
Tunategemea kilimo kwa kiwango chote katika uzalishaji na fursa za kiuchumi.
Hatuna chuo kikuu cha Tafiti za Mbegu na magonjwa ya mazao.
Nchi imejaa UZEMBE SANA.
80% ya zao linalolimwa sana nchini MAHINDI mbegu zinatoka Kenya na Zambia
Mbolea bora ya kupandia na kukuzia inatoka URUSI na ARABUNI nchi hizi hazina ardhi ya kilimo bt zinazalisha kwa ajili ya kuuza kwetu.
~Mbolea
~Mbegu
~Utengenezaji matrekta.
Tunategemea kilimo kwa kiwango chote katika uzalishaji na fursa za kiuchumi.
Hatuna chuo kikuu cha Tafiti za Mbegu na magonjwa ya mazao.
Nchi imejaa UZEMBE SANA.
80% ya zao linalolimwa sana nchini MAHINDI mbegu zinatoka Kenya na Zambia
Mbolea bora ya kupandia na kukuzia inatoka URUSI na ARABUNI nchi hizi hazina ardhi ya kilimo bt zinazalisha kwa ajili ya kuuza kwetu.