Tanzania, nchi ya watu wastaarabu

Tanzania, nchi ya watu wastaarabu

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Kwanza nianze kwa kumushukru Mungu muumba mbingu na nchi na Yesu kristo mwokozi wetu.

Naomba kutoa wito kwa viongozi wote wa selikari ya Tanzania kuongoza nchi hii kistarabu kwa sababu Tanzania ni nchi ya watu wastarabu.

Watanzania siyo wajinga Wa Tanzania ni wastarabu. Wa Tanzania wamejaa upendo ni watu waamani na wanao jua kutunza Amani.

Atunapenda penda Amani na utivu, hivyo ni wito wangu kwa watawala wasituchokoze:

1: Uhuru wa kujieleza na kusikilizwa uzingatiwe
2: Siasa safi zizingatiwe
3: Haki ya kuishi na uhai wa watu uthaminiwe
4: Matibabu iwe haki ya kila mwana nchi
5: Ulinzi wa raia na Mali za upewe kipaumbele
6: Elimu Bora itolewe kwa watu wote
7: Mazingira ya kazi na biashara ya boreshwe
8: Chakula na malazi Bora
vizingatiwe kwa wote. Hapo tutaendelea kuwa knya
 
Acha dharau,sio wastaarabu.ni wajinga.watu wanauwawa kimyaaa,uchaguzi unabakwa kimyaaa,,spika anaongea utumbo bungeni kimyaa.ustaarabu wao ni upi hapo???
 
Watanzania wengi hasa Watanganyika ni wapumbavu,ukitaka kuamini hili angalia jinsi wanavyo endeshwa na Wazanzibar kwa mgongo wa muungano.
 
Kwanza nianze kwa kumushukru Mungu muumba mbingu na nchi na Yesu kristo mwokozi wetu.

Naomba kutoa wito kwa viongozi wote wa selikari ya Tanzania kuongoza nchi hii kistarabu kwa sababu Tanzania ni nchi ya watu wastarabu.

Watanzania siyo wajinga Wa Tanzania ni wastarabu. Wa Tanzania wamejaa upendo ni watu waamani na wanao jua kutunza Amani.

Atunapenda penda Amani na utivu, hivyo ni wito wangu kwa watawala wasituchokoze:

1: Uhuru wa kujieleza na kusikilizwa uzingatiwe
2: Siasa safi zizingatiwe
3: Haki ya kuishi na uhai wa watu uthaminiwe
4: Matibabu iwe haki ya kila mwana nchi
5: Ulinzi wa raia na Mali za upewe kipaumbele
6: Elimu Bora itolewe kwa watu wote
7: Mazingira ya kazi na biashara ya boreshwe
8: Chakula na malazi Bora
vizingatiwe kwa wote. Hapo tutaendelea kuwa knya
Tanzania nchi ya wafu
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Watanzania ni waoga.Hata watawala wanalijua Hilo ndiyo maana wanaotuteka hadharani Kwa kuwa wanajua watanzania hawawezi kufanya chochote sababu ya uoga.Kwenye uchaguzi wanaiba kura waziwazi sababu wanajua wtz waoga hawawezi kudai haki zao.
 
Watanzania wengi hasa Watanganyika ni wapumbavu,ukitaka kuamini hili angalia jinsi wanavyo endeshwa na Wazanzibar kwa mgongo wa muungano.
Na wewe ni mpimbavu pia?? Jitokeze usiendeshwe na Wazanzibar!!
 
Back
Top Bottom