Wapendwa tuliambiwa ati Kamanda Lwakatare ni Gaidi ndani ya nchi ambayo walisema ni kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa na mataifa ya nje hivi hii imekaaje Gaidi from peacefull State?Na kumbe Tanzania ilianza lini kusikiliza kesi za KIGAIDI??Kwa wale wataalamu wa sheria hebu nisaidieni mie wajameni iloi nipate fahamu mie nini kinachoendelea kuhusu hili!!