Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi-Pongezi Roma

Tanzania nchi yenye udongo wenye dhambi-Pongezi Roma

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Wana Jf Ingawaje huu mziki ni wa 2010 lakini ni ktk bongo fraver ambayo nyimbo imetungwa na ikatungika,nyimbo ina ujumbe unaoeleweka na mwimbaji amekuwa wazi zaidi ktk kile alichokikusudia kukifikisha kwa adhira

na mala nyingi miziki kama hii yenye ujumbe wa kuchoma huwezi kuisikia ikipigwa maredioni hususani ktk vile vyombo vinavyopenda 10%

Wana JF nimeona niwape nanji mjaribu kusikiliza nini vijana wetu wanafanya ktk kufikisha pale wanapoguswa na matatizo yetu Watanzania

kwa kweli Naomba nimpongeze Kijana Roma kwa UJUMBE mzuri uliotulia

Tunahitaji wanamziki kama hawa akiungana na Mrisho MPOTO ujumbe watausikia tu watawala wetu


 
Last edited by a moderator:
Tanzania ni nche yenye udongo wenye dhambi ni sawa na kusema nchi yetu imejaa rutuba. Maana dhambi ni uchafu, nao ukioza huwa rutuba ardhini
 
Tanzania ni nche yenye udongo wenye dhambi ni sawa na kusema nchi yetu imejaa rutuba. Maana dhambi ni uchafu, nao ukioza huwa rutuba ardhini

Jamaa yupo juu sana

alikaa chini na kufikilia na kutoa kitu ambacho hata ukiusikiliza mpaka mwisho bado unatamani uendelee kupata ujumbe,

safii sana mkuu kaza buti
 
Back
Top Bottom