joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Hivi karibuni huduma za kupandikiza moyo kuanza, karibuni Sana majirani.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wanakwenda nje kwa sababu nyinginezo na siyo moyo"Tanzania ndio chuo...." ungeijua sekta ya afya ya Afrika Kusini ambako ndiko Waziri Mkuu wako mstaafu amelazwa na DG mstaafu wa Usalama wa Taifa alifia usingeandika hivi.
Bado hatujagusa Morocco, Egypt na Nigeria.
Mkuu, onyesha nchi mbili au tatu za Africa zilizoingia mikataba ya Serikali kwa serikali Ili kuwahudimia raia wao na kutoa mafunzo kwa nchi zao Kama zilivyofanya nchi zilizotuzunguka"Tanzania ndio chuo...." ungeijua sekta ya afya ya Afrika Kusini ambako ndiko Waziri Mkuu wako mstaafu amelazwa na DG mstaafu wa Usalama wa Taifa alifia usingeandika hivi.
Bado hatujagusa Morocco, Egypt na Nigeria.
Nigeria ndio nini? Buhari (bokohari) hutibiwa Uingereza; hana imani kabisa na hospitali za Nigeria🤣"Tanzania ndio chuo...." ungeijua sekta ya afya ya Afrika Kusini ambako ndiko Waziri Mkuu wako mstaafu amelazwa na DG mstaafu wa Usalama wa Taifa alifia usingeandika hivi.
Bado hatujagusa Morocco, Egypt na Nigeria.
Tanzania ina huduma za afya kuzidi Nigeria?Nigeria ndio nini? Buhari (bokohari) hutibiwa Uingereza; hana imani kabisa na hospitali za Nigeria🤣
Ndio.Tanzania ina huduma za afya kuzidi Nigeria?..
Kusaini mikataba na nchi mbili maskini sio kuwa chuo Afrika. Hao ambao hawajasaini wakija watatibiwa vilevile wakiwa na vigezo.Mkuu, onyesha nchi mbili au tatu za Africa zilizoingia mikataba ya Serikali kwa serikali Ili kuwahudimia raia wao na kutoa mafunzo kwa nchi zao Kama zilivyofanya nchi zilizotuzunguka
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Weka ushahidi Kama Nigeria Kuna Hospitali yenye viwango vya JKCI, kwa idadi ya wagonjwa wanaofanyiwa 1)Cardiac operation kwa mwaka, 2) Success rate, 3)Number of foreign countries which send their patients, 4) Modern EquipmentsTanzania ina huduma za afya kuzidi Nigeria?
Buhari kutibiwa Uingereza sio shida, au unaona UK ni level sawa kiafya na nchi yeyote Afrika hapa. Angeenda kutibiwa Chad Republic ungekuwa na hoja
Sasa Kama huna mkataba na nchi yoyote ya Afrika kufundisha raia wake, na Kuna nchi yenye mikataba na nchi kadhaa za Afrika kufundisha raia zao, ni nchi ipi onayostahili kuitwa ni chuo Cha kufundisha African countries?, Kichwa Cha habari ni kuhusu chuo Cha mafunzoKusaini mikataba na nchi mbili maskini sio kuwa chuo Afrika. Hao ambao hawajasaini wakija watatibiwa vilevile wakiwa na vigezo.
Tittle ya uzi inatia chumvi habari
Hiyo ni kazi ngumu kidogo na si lazima iwepo institution moja inayofanya kazi kubwa ukizingatia wako zaidi ya 210 million. Wako na cardiothoracic surgeons 75 sijui sisi tunao wangapi.Weka ushahidi Kama Nigeria Kuna Hospitali yenye viwango vya JKCI, kwa idadi ya wagonjwa wanaofanyiwa 1)Cardiac operation kwa mwaka, 2) Success rate, 3)Number of foreign countries which send their patients, 4) Modern Equipments
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wenye sekta yao wakikusikia watakutandika makofi. South Africa ndio nchi ya kwanza duniani kufanya human to human heart transplant ilikuwa ni mwaka 1967 kipindi wazee wetu wako busy na Azimio la Arusha.Sasa Kama huna mkataba na nchi yoyote ya Afrika kufundisha raia wake, na Kuna nchi yenye mikataba na nchi kadhaa za Afrika kufundisha raia zao, ni nchi ipi onayostahili kuitwa ni chuo Cha kufundisha African countries?, Kichwa Cha habari ni kuhusu chuo Cha mafunzo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mkuu tuliza akili kidogo, hatujazungumzia kufanya operation, tumezumgumzia chuo Cha kufundisha nchi za Africa, hatuzungumzii uwezo wa kufanya operation kubwa.Wenye sekta yao wakikusikia watakutandika makofi. South Africa ndio nchi ya kwanza duniani kufanya human to human heart transplant ilikuwa ni mwaka 1967 kipindi wazee wetu wako busy na Azimio la Arusha.
Tangu 1967 hadi leo 2023 Tanzania haijawahi fanya hiyo operation uko hapa unaongea tu kisa wanasiasa wamesema. Eti Tanzania inaizidi South Africa
Vitu wamefanya 1967 sisi bado, umekalia kwenye mikataba[emoji23]
Kufundisha nchi mbili maskini za Afrika sio kitu cha ajabu. Wiki jana hujaona wanafunzi wa Tanzania wanatoka Sudan walipokuwa wanasoma kabla ya machafuko. Kwahiyo tuseme vile vyuo vya Sudan ambavyo havina hadhi yoyote ya kuzidi vyuo vyetu hapa nchini vinagundisha nchi za Afrika?Mkuu tuliza akili kidogo, hatujazungumzia kufanya operation, tumezumgumzia chuo Cha kufundisha nchi za Africa, hatuzungumzii uwezo wa kufanya operation kubwa.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ninapata wasiwasi na uwezo wako wa akili, samahani Kama nimekukwaza mkuu wangu. Niambie ni lini Tanzania iliingia mkataba wa serikali kwa serikali na Sudan Ili kufundisha wanafunzi wa Tanzania?.Kufundisha nchi mbili maskini za Afrika sio kitu cha ajabu. Wiki jana hujaona wanafunzi wa Tanzania wanatoka Sudan walipokuwa wanasoma kabla ya machafuko. Kwahiyo tuseme vile vyuo vya Sudan ambavyo havina hadhi yoyote ya kuzidi vyuo vyetu hapa nchini vinagundisha nchi za Afrika?
Hiyo si ni kama exchange program. Mnafanya hiki nao wanafanya kile, kwenye bandari hao tunawasaidia na hatuwezi sema "Tanzania ndio bandari ya Afrika" wakati kuna nchi zaidi ya 10 zenye bandari na wala bandari yetu haipo top 10 ya zinazobeba mizigo mingi.
Misifa itatufikisha wapi.