Tanzania ndio nchi pekee kwa mwanaume ukiwa na pesa ndio wanawake wanaongezeka bila vikwazo

Tanzania ndio nchi pekee kwa mwanaume ukiwa na pesa ndio wanawake wanaongezeka bila vikwazo

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Wanawake wa tanzania sijui ni asilimia kubwa yani ukiwa na pesa ni kama wanaona ndio mtu sahii ijalishi umezalisha, baba wa familia, unamagonjwa na mengine.

Na kibaya zaidi kila mwanamke anataka kuwa na wewe sababu ya pesa zako.

Swala la kutongoza kusumbuana linakuwa sio ishu sababu pesa unazo.

Embu angalia maisha uliyonayo mfano wenye vipato vizuri unavo waona wanavokusumbua
 
Wanawake wa tanzania sijui ni asilimia kubwa yani ukiwa na pesa ni kama wanaona ndio mtu sahii ijalishi umezalisha, baba wa familia, unamagonjwa na mengine.

Na kibaya zaidi kila mwanamke anataka kuwa na wewe sababu ya pesa zako.

Swala la kutongoza kusumbuana linakuwa sio ishu sababu pesa unazo.

Embu angalia maisha uliyonayo mfano wenye vipato vizuri unavo waona wanavokusumbua
Kweli kabisa
 
Wanawake wa tanzania sijui ni asilimia kubwa yani ukiwa na pesa ni kama wanaona ndio mtu sahii ijalishi umezalisha, baba wa familia, unamagonjwa na mengine.

Na kibaya zaidi kila mwanamke anataka kuwa na wewe sababu ya pesa zako.

Swala la kutongoza kusumbuana linakuwa sio ishu sababu pesa unazo.

Embu angalia maisha uliyonayo mfano wenye vipato vizuri unavo waona wanavokusumbua
Sio Tanzania tu ndivyo ilivyo duniani kote, mwanaume haupendwi wewe kama binqdamu unapendwa kutokana na mafanikio yako.

Labda tuseme Tanzania imekua too much kwa sababu ya umasikini na ukosefu wa ajira kwaiyo wanawake wameona sekta ya mahusiano ni fursa.

Siku moja hivi nipo nikiwa Iringa nikaenda club inaitwa warm up, kulikua na wazungu hawajui kiswahili wakati wanaagiza vinywaji walipata shida kuelewana na mhudumu nikasaidia mawasiliano pale kama mkalimani wakaniaomba niwape kampani ili kurahisisha nawasiliano maana watu wengi hawajui kingereza.

Katika kupiga story mbili tatu nikawauliza kuhusu characters za wadada wa kibongo, malalamiko yao yalikua ni tabia ya wakina dada wa kibongo kuombaomba hela. Baada ya kula bata mida ya alfajiri tukaachana waliniachia dola nyingi tu kama malipo ya ukalimani, hawa jamaa hawaamini kabisa kwenye cha bure ukimfanyia kazi lazima akulipe na ukimuomba hela bila kumfanyia kazi lazima akushangae.

Anyway, wakina dada wa bongo wapunguze kutangaza njaa mapema. Kwenye mahusiano mbona mambo ya kusaidiana yapo tu
 
Sio Tanzania tu ndivyo ilivyo duniani kote, mwanaume haupendwi wewe kama binqdamu unapendwa kutokana na mafanikio yako.

Labda tuseme Tanzania imekua too much kwa sababu ya umasikini na ukosefu wa ajira kwaiyo wanawake wameona sekta ya mahusiano ni fursa.

Siku moja hivi nipo nikiwa Iringa nikaenda club inaitwa warm up, kulikua na wazungu hawajui kiswahili wakati wanaagiza vinywaji walipata shida kuelewana na mhudumu nikasaidia mawasiliano pale kama mkalimani wakaniaomba niwape kampani ili kurahisisha nawasiliano maana watu wengi hawajui kingereza.

Katika kupiga story mbili tatu nikawauliza kuhusu characters za wadada wa kibongo, malalamiko yao yalikua ni tabia ya wakina dada wa kibongo kuombaomba hela. Baada ya kula bata mida ya alfajiri tukaachana waliniachia dola nyingi tu kama malipo ya ukalimani, hawa jamaa hawaamini kabisa kwenye cha bure ukimfanyia kazi lazima akulipe na ukimuomba hela bila kumfanyia kazi lazima akushangae.

Anyway, wakina dada wa bongo wapunguze kutangaza njaa mapema. Kwenye mahusiano mbona mambo ya kusaidiana yapo tu
Kweli kabisa
 
Wanawake wa tanzania sijui ni asilimia kubwa yani ukiwa na pesa ni kama wanaona ndio mtu sahii ijalishi umezalisha, baba wa familia, unamagonjwa na mengine.

Na kibaya zaidi kila mwanamke anataka kuwa na wewe sababu ya pesa zako.

Swala la kutongoza kusumbuana linakuwa sio ishu sababu pesa unazo.

Embu angalia maisha uliyonayo mfano wenye vipato vizuri unavo waona wanavokusumbua
Kuna wanaume pia wanadata Kwa mashangazi kisa pesa
 
Back
Top Bottom