Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo Mkurugenzi NEC na timu yake ya kusimamia uchaguzi mkuu inateuliwa na anayegombea uchaguzi huohuo

Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo Mkurugenzi NEC na timu yake ya kusimamia uchaguzi mkuu inateuliwa na anayegombea uchaguzi huohuo

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Gi72JxVWgAA0YAz.jpeg

Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuita uchaguzi wa aina hii ni wa 'HURU NA HAKI'. Dunia nzima inaishangaa Tanzania, mbaya zaidi ni pale inapojinasibu huko duniani kote kwamba ni nchi ya kidemokrasia! Hii ni AIBU kubwa sana! Nahisi dunia nzima inashangaa na kuhoji kama watanzania ni watu wenye akili timamu au vinginevyo ni watu wenye IQ ndogo sana au kuna pahala akili za watanzania hazipo sawa.

Hii ni sawa na kusema mchezo wa mpira wa miguu kati ya Lesotho na Tanzania alafu kuanzia mashabiki, uwanja, refa, linesmen, match commissioner nk. Vinawekwa na kusimamiwa na Tanzania then utarajie Lesotho ishinde! Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusema huo ni ushindani wa haki.

CCM imenufauka mno kwa miaka mingi kutokana na mfumo huu mbovu. Mbaya zaidi imetumia mfumo huu mbovu kujijenga na kujinufaisha mno kulinganisha na vyama vingine vya upinzani. Ni sawa na timu ambayo imeshinda makombe na fedha nyingi kwa njia hizo zisizo za kihalali kisha kwa miaka mingi hiyo ikatumia fedha hizo hizo kujipa nguvu zaidi kuendelea kutawala kwa njia zisizo halali.

Dunia inashangaa, Je, ni kwamba watanzania hawaoni jambo hili? Wamerogwa? Au ukosefu wa elimu? Umasikini?

Uchaguzi si kwa ajili ya ubunge na madiwani tu, ambapo kwa miaka mingi CCM imetumia njia ya kukubali ushindi kwa baadhi ya majimbo kwa vyama vya upinzàni ili kuuhadaa umma juu ya mfumo huu wa uchaguzi ambao si wa haki na huru, Na kwa bahati mbaya vyama vya upinzani vikishapata viti kadhaa bungeni vinasahau kwamba CCM kamwe hawawezi na hawako tayari kuachia serikali kuu kwa chama cha upinzani!
Je, Huu ndiyo uchaguzi huru na wa haki? HAPANA, huu si uchaguzi wa huru na haki.

MUNGU IBARIKA AFRIKA, MUNGU IBARIKA TANZANIA.
 
View attachment 3235364
Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuita uchaguzi wa aina hii ni wa 'HURU NA HAKI'. Dunia nzima inaishangaa Tanzania, mbaya zaidi ni pale inapojinasibu huko duniani kote kwamba ni nchi ya kidemokrasia! Hii ni AIBU kubwa sana! Nahisi dunia nzima inashangaa na kuhoji kama watanzania ni watu wenye akili timamu au vinginevyo ni watu wenye IQ ndogo sana au kuna pahala akili za watanzania hazipo sawa.

Hii ni sawa na kusema nchezo wa mpira wa miguu kati ya Lesotho na Tanzania alafu kuanzia mashabiki, uwanja, refa, linesmen, match commissioner nk. Vinawekwa na kusimamiwa na Tanzania then utarajie Lesotho ishinde! Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusema huo ni ushindani wa haki.

CCM imenufauka mno kwa miaka mingi kutokana na mfumo huu mbovu. Mbaya zaidi imetumia mfumo huu mbovu kujijenga na kujinufaisha mno kulinganisha na vyama vingine vya upinzani. Ni sawa na timu ambayo imeshinda makombe na fedha nyingi kwa njia hizo zisizo za kihalali kisha kwa miaka mingi hiyo ikatumia fedha hizo hizo kujipa nguvu zaidi kuendelea kutawala kwa njia zisizo halali.

Dunia inashangaa, Je, ni kwamba watanzania hawaoni jambo hili? Wamerogwa? Au ukosefu wa elimu? Umasikini?

Uchaguzi si kwa ajili ya ubunge na madiwani tu, ambapo kwa miaka mingi CCM imetumia njia ya kukubali ushindi kwa baadhi ya majimbo kwa vyama vya upinzàni ili kuuhadaa umma juu ya mfumo huu wa uchaguzi ambao si wa haki na huru, Na kwa bahati mbaya vyama vya upinzani vikishapata viti kadhaa bungeni vinasahau kwamba CCM kamwe hawawezi na hawako tayari kuachia serikali kuu kwa chama cha upinzani!

MUNGU IBARIKA AFRIKA, MUNGU IBARIKA TANZANIA.
We umejuaje kama ndo nchi pekee inayofanya hivyo
 
Huu uwendawazimu wa CCM lazima ufikie wakati tuseme imetosha. Na wakati huo ni sasa. Ujinga wa namna hiyo wabakie nao wenyewe.
 
View attachment 3235364
Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuita uchaguzi wa aina hii ni wa 'HURU NA HAKI'. Dunia nzima inaishangaa Tanzania, mbaya zaidi ni pale inapojinasibu huko duniani kote kwamba ni nchi ya kidemokrasia! Hii ni AIBU kubwa sana! Nahisi dunia nzima inashangaa na kuhoji kama watanzania ni watu wenye akili timamu au vinginevyo ni watu wenye IQ ndogo sana au kuna pahala akili za watanzania hazipo sawa.

Hii ni sawa na kusema nchezo wa mpira wa miguu kati ya Lesotho na Tanzania alafu kuanzia mashabiki, uwanja, refa, linesmen, match commissioner nk. Vinawekwa na kusimamiwa na Tanzania then utarajie Lesotho ishinde! Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusema huo ni ushindani wa haki.

CCM imenufauka mno kwa miaka mingi kutokana na mfumo huu mbovu. Mbaya zaidi imetumia mfumo huu mbovu kujijenga na kujinufaisha mno kulinganisha na vyama vingine vya upinzani. Ni sawa na timu ambayo imeshinda makombe na fedha nyingi kwa njia hizo zisizo za kihalali kisha kwa miaka mingi hiyo ikatumia fedha hizo hizo kujipa nguvu zaidi kuendelea kutawala kwa njia zisizo halali.

Dunia inashangaa, Je, ni kwamba watanzania hawaoni jambo hili? Wamerogwa? Au ukosefu wa elimu? Umasikini?

Uchaguzi si kwa ajili ya ubunge na madiwani tu, ambapo kwa miaka mingi CCM imetumia njia ya kukubali ushindi kwa baadhi ya majimbo kwa vyama vya upinzàni ili kuuhadaa umma juu ya mfumo huu wa uchaguzi ambao si wa haki na huru, Na kwa bahati mbaya vyama vya upinzani vikishapata viti kadhaa bungeni vinasahau kwamba CCM kamwe hawawezi na hawako tayari kuachia serikali kuu kwa chama cha upinzani!

MUNGU IBARIKA AFRIKA, MUNGU IBARIKA TANZANIA.


Mimi naona nikiandika haitoshi nimerekodi voice note👇 sikiliza kwa umakini

Ibonyeze mara mbili kuisikiliza

🗣️▶︎•|၊|။||||။၊|။|||။03:53
 
View attachment 3235364
Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuita uchaguzi wa aina hii ni wa 'HURU NA HAKI'. Dunia nzima inaishangaa Tanzania, mbaya zaidi ni pale inapojinasibu huko duniani kote kwamba ni nchi ya kidemokrasia! Hii ni AIBU kubwa sana! Nahisi dunia nzima inashangaa na kuhoji kama watanzania ni watu wenye akili timamu au vinginevyo ni watu wenye IQ ndogo sana au kuna pahala akili za watanzania hazipo sawa.

Hii ni sawa na kusema nchezo wa mpira wa miguu kati ya Lesotho na Tanzania alafu kuanzia mashabiki, uwanja, refa, linesmen, match commissioner nk. Vinawekwa na kusimamiwa na Tanzania then utarajie Lesotho ishinde! Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusema huo ni ushindani wa haki.

CCM imenufauka mno kwa miaka mingi kutokana na mfumo huu mbovu. Mbaya zaidi imetumia mfumo huu mbovu kujijenga na kujinufaisha mno kulinganisha na vyama vingine vya upinzani. Ni sawa na timu ambayo imeshinda makombe na fedha nyingi kwa njia hizo zisizo za kihalali kisha kwa miaka mingi hiyo ikatumia fedha hizo hizo kujipa nguvu zaidi kuendelea kutawala kwa njia zisizo halali.

Dunia inashangaa, Je, ni kwamba watanzania hawaoni jambo hili? Wamerogwa? Au ukosefu wa elimu? Umasikini?

Uchaguzi si kwa ajili ya ubunge na madiwani tu, ambapo kwa miaka mingi CCM imetumia njia ya kukubali ushindi kwa baadhi ya majimbo kwa vyama vya upinzàni ili kuuhadaa umma juu ya mfumo huu wa uchaguzi ambao si wa haki na huru, Na kwa bahati mbaya vyama vya upinzani vikishapata viti kadhaa bungeni vinasahau kwamba CCM kamwe hawawezi na hawako tayari kuachia serikali kuu kwa chama cha upinzani!

MUNGU IBARIKA AFRIKA, MUNGU IBARIKA TANZANIA.
ndugu mpotoshaji,
kwa mfano Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini, Somalia na DRC wanateuliwa na nani?

Halafu ndugu mpotoshaji,
jambo hilo umegundua lini, au ndio unafiki ni kipaji?🐒
 
We umejuaje kama ndo nchi pekee inayofanya hivyo
Vyovyote itakavyokuwa wewe unaona ni sawa? Hiki wanachokifanya CCM ni sawa sawa na mwanafunzi ajitungie mtihani mwenyewe halafu ajisahihishie mwenyewe kisha anatoka hadharani anatanua domo lake kuwa nimeshinda kwa kishindo nimetoka na division 1 ya point 7. Bata wahed!
 
Vyovyote itakavyokuwa wewe unaona ni sawa? Hiki wanachokifanya CCM ni sawa sawa na mwanafunzi ajitungie mtihani mwenyewe halafu ajisahihishie mwenyewe kisha anatoka hadharani anatanua domo lake kuwa nimeshinda kwa kishindo nimetoka na division 1 ya point 7. Bata wahed!
Ok
 
ndugu mpotoshaji,
kwa mfano Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini, Somalia na DRC wanateuliwa na nani?

Halafu ndugu mpotoshaji,
jambo hilo umegundua lini, au ndio unafiki ni kipaji?🐒
Chawa wa mama kazini,yani mtu anaongea ukweli unasema upotoshaji,mbona mnaogopa uchaguzi wa huru na wazi aisee,jiandaeni kukusanya mzigo Oct lazima mtoke tu.
 
ndugu mpotoshaji,
kwa mfano Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Sudani Kusini, Somalia na DRC wanateuliwa na nani?

Halafu ndugu mpotoshaji,
jambo hilo umegundua lini, au ndio unafiki ni kipaji?🐒
Umeshawahi kusikia Kenya, USA mkurugenzi wa tume anatokana na chama tawala? Achana na hizo nchi zingine, tunazungumzia nchi zinazojiita za kidemokrasia mf. Tanzania
 
Back
Top Bottom