Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
barabara za jinsi hii zitasaidia sana hasa kwa miji kama dar es salaam, mwanza, arusha, tanga na mbeya!
sijui kama serikali inaweza kuafford kitu kama hiki!
naomba kama magufuli yumo humu jf apitie kitu hiki!
Mfano wa barabara zinazotakiwa hapa Tanzania.
Yes..!! Tunaweza kujenga hizi barabara kwa kutumia utajiri wa nchi yetu..!!
ila ndugu, hawa madereva wetu vibomu wataweza kweli kufuata sheria za hizi barabara?
ila ndugu, hawa madereva wetu vibomu wataweza kweli kufuata sheria za hizi barabara?
Wakifundishwa wataweza tu
Kujenga fly over au free way kunahitaji eneo kubwa sana.
Tatizo hapa nchini watu wa mipango miji ni rushwa tupu. Watu wamepewa vibali vya kujenga magorofa hadi kwenye kingo za barabara.
Changamoto itakayokuja indapo tutajenga barabara kama hizo ni kuwa gharama ya kulipa fidia yaweza kuwa sawa au ikaizidi gharama ya kujenga barabara.
Majumba, mahoteli na masheli mengi sana itabidi yabomolewe.
Kujenga fly over au free way kunahitaji eneo kubwa sana.
Tatizo hapa nchini watu wa mipango miji ni rushwa tupu. Watu wamepewa vibali vya kujenga magorofa hadi kwenye kingo za barabara.
Changamoto itakayokuja indapo tutajenga barabara kama hizo ni kuwa gharama ya kulipa fidia yaweza kuwa sawa au ikaizidi gharama ya kujenga barabara.
Majumba, mahoteli na masheli mengi sana itabidi yabomolewe.
ila ndugu, hawa madereva wetu vibomu wataweza kweli kufuata sheria za hizi barabara?
nichagueni mimi kuwa Rais wa hii nchi muone
Nalog off