Tanzania ni Jamuhuri ya Watu wa Kukurupuka?

Tanzania ni Jamuhuri ya Watu wa Kukurupuka?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa yanayoendelea sasa hapa nchini sambamba na mengine ya siku za nyuma, nikisema hii ni Jamuhuri ya Watu wa Kukurupuka nitakuwa nakosea?

Kabla ya kujibu hili swali, tafakari mfululizo wa matamko kuanzia yale ya kusitisha mishahara na haya mengine ya leo.

Tuna safari ndefu sana wabongo!!
 
Back
Top Bottom