Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazosifika kwa utalii duniani, ushahidi huu hapa pichani.

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wana JF wenzangu,

Kama muonavyo hapo pichani, huu ndio ukweli halisi kuwa huku nje watu wengi wamekuwa wakiifahamu nchi yetu kupitia mambo mbali mbali ya kitalii nk.
 

Attachments

  • 20220928_154658.jpg
    408.5 KB · Views: 1
Naiona mpaka Rwanda ipo, huku Congo ambayo wanyama wa Rwanda wanatokea ikiwa haipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…