TANZANIA ni Nchi Iliyo Anguka Kabisa Kiuchumi Duniani na Haina mwelekeo kimaendeleo

TANZANIA ni Nchi Iliyo Anguka Kabisa Kiuchumi Duniani na Haina mwelekeo kimaendeleo

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Naaza kuchangia mada kwa kuangalia Ugiriki ambayo hivi karibuni ilikuwa kwenye mgogoro mkubwa na EU baada ya kuwekewa mashart magumu ya kubana matumizi ili wapewe pesa za kujinusulu kiuchumi na EU. Kwa mujibu wa vyombo vya habari na takwimu hali ilikuwa mbaya sana lakini pamoja na kuwa mbya sana bado ilikuwa tajiri sana ukilinganisha na sisi. Watanzania katika dunia hii ya ushindani sisi tuko wapi? Inamaana sisi tumekwisha kabisa kifedha ndio maaana huduma za jamii ni mbovu

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Naaza kuchangia mada
kwa kuangalia Ugiriki ambayo hivi karibuni ilikuwa kwenye mgogoro mkubwa
na EU baada ya kuwekewa mashart magumu ya kubana matumizi ili wapewe
pesa za kujinusulu kiuchumi na EU. Kwa mujibu wa vyombo vya habari na
takwimu hali ilikuwa mbaya sana lakini pamoja na kuwa mbya sana bado
ilikuwa tajiri sana ukilinganisha na sisi. Watanzania katika dunia hii
ya ushindani sisi tuko wapi? Inamaana sisi tumekwisha kabisa kifedha
ndio maaana huduma za jamii ni mbovu

Sent from my BlackBerry using JamiiForums

no research no right to speak
 
Naaza kuchangia mada kwa kuangalia Ugiriki ambayo hivi karibuni ilikuwa kwenye mgogoro mkubwa na EU baada ya kuwekewa mashart magumu ya kubana matumizi ili wapewe pesa za kujinusulu kiuchumi na EU. Kwa mujibu wa vyombo vya habari na takwimu hali ilikuwa mbaya sana lakini pamoja na kuwa mbya sana bado ilikuwa tajiri sana ukilinganisha na sisi. Watanzania katika dunia hii ya ushindani sisi tuko wapi? Inamaana sisi tumekwisha kabisa kifedha ndio maaana huduma za jamii ni mbovu

Sent from my BlackBerry using JamiiForums

UH Unauhakika huo??? Kwanza yaliyoipaa ugiriki ni financial crisis... bad investments; walafi kutajirika zaidi na kuua the retirements funds...

Kwanza UGIRIKI sio TAJIRI zaidi ya Tanzania in a sense of MINERALS and ARABLE LAND...

UGIRIKI tegemeo kubwa ni Utalii na Financial Investments.... na KILA MTU ana CREDIT CARD anatumia hajui pesa hizo ni za WAPI??

Hapa THANK GOD hatuna hiyo DEPENDENCY ECONOMIC SYSTEM... Uzuri hadi kesho tuna MKULIMA anayelima Mazao ahitaji PESA ili aweze kuishi; ahitaji CREDIT CARD ili aweze kununua KITENGE akipendacho...

Kwahiyo HII HOJA sijui ULIKUWA unafikiria nini kuianizsha; na SIJUI kama Ulifuatilia hata kidogo UCHAMBUZI na UCHUNGUZI kwa nini UGIRIKI ilianguka KIUCHUMI...

*** TUKO MBALI HASWA; Umeona Wachina Wanatuuliza kama hatuwezi kulipa MKOPO wa Barabara wanayojenga HUKO TABORA-SINGIDA; Kwenye PITA PITA Yao hayo MAENEO wamekuta DHAHABU ya kiasi kikubwa TUUU; kwahiyo Wangependa HUO MGODI uwe kama MALIPO VILE !!! mmmmm UH WAJANJA EH????


Kwahiyo UGIRIKI ukichimba chini ni MAWE; Tanzania UKICHIMBA chini ni MALI...

**** FANYA UCHUNGUZI wa MAANA......
 
Matumizi mabaya ya fedha za umma ambazo asilia 64 zinatoka kwa wafadhiri ni wazi kuwa sisi tumefirisika kabisa kiuchumi. Sisi ni sawa na ombaomba wa kiriakoo tunaishi bila ya kuwa na matumaini ya kujenga uchumi imara siku moja kutokana na mapato ya ndani na biashara za nje.

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 

UH Unauhakika huo??? Kwanza yaliyoipaa ugiriki ni financial crisis... bad investments; walafi kutajirika zaidi na kuua the retirements funds...

Kwanza UGIRIKI sio TAJIRI zaidi ya Tanzania in a sense of MINERALS and ARABLE LAND...

UGIRIKI tegemeo kubwa ni Utalii na Financial Investments.... na KILA MTU ana CREDIT CARD anatumia hajui pesa hizo ni za WAPI??

Hapa THANK GOD hatuna hiyo DEPENDENCY ECONOMIC SYSTEM... Uzuri hadi kesho tuna MKULIMA anayelima Mazao ahitaji PESA ili aweze kuishi; ahitaji CREDIT CARD ili aweze kununua KITENGE akipendacho...

Kwahiyo HII HOJA sijui ULIKUWA unafikiria nini kuianizsha; na SIJUI kama Ulifuatilia hata kidogo UCHAMBUZI na UCHUNGUZI kwa nini UGIRIKI ilianguka KIUCHUMI...

*** TUKO MBALI HASWA; Umeona Wachina Wanatuuliza kama hatuwezi kulipa MKOPO wa Barabara wanayojenga HUKO TABORA-SINGIDA; Kwenye PITA PITA Yao hayo MAENEO wamekuta DHAHABU ya kiasi kikubwa TUUU; kwahiyo Wangependa HUO MGODI uwe kama MALIPO VILE !!! mmmmm UH WAJANJA EH????


Kwahiyo UGIRIKI ukichimba chini ni MAWE; Tanzania UKICHIMBA chini ni MALI...

**** FANYA UCHUNGUZI wa MAANA......

Matumizi mabaya ya fedha za umma ambazo asilia 64 zinatoka kwa wafadhiri ni wazi kuwa sisi tumefirisika kabisa kiuchumi. Sisi ni sawa na ombaomba wa kiriakoo tunaishi bila ya kuwa na matumaini ya kujenga uchumi imara siku moja kutokana na mapato ya ndani na biashara za nje.

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
no research no right to speak

Matumizi mabaya ya fedha za umma ambazo asilia 64 zinatoka kwa wafadhiri ni wazi kuwa sisi tumefirisika kabisa kiuchumi. Sisi ni sawa na ombaomba wa kiriakoo tunaishi bila ya kuwa na matumaini ya kujenga uchumi imara siku moja kutokana na mapato ya ndani na biashara za nje.

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Matumizi mabaya ya fedha za umma ambazo asilia 64 zinatoka kwa wafadhiri ni wazi kuwa sisi tumefirisika kabisa kiuchumi. Sisi ni sawa na ombaomba wa kiriakoo tunaishi bila ya kuwa na matumaini ya kujenga uchumi imara siku moja kutokana na mapato ya ndani na biashara za nje.

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
inafurahisha eh!
 
Back
Top Bottom