Tanzania ni nchi inayotengeneza matatizo na kutatua matatizo

Tanzania ni nchi inayotengeneza matatizo na kutatua matatizo

P J O

Senior Member
Joined
May 3, 2024
Posts
189
Reaction score
264
Tangu uhuru, Tanzania imekua na Viongozi wengi ambao si wajenzi wa taifa, ni wasuluhishaji wa MATATIZO ma mambo kisiasa na kuacha mianya kesho mwingine aje ale.

Barabara zinajengwa hazimalizi hata decades zinabomolewa, masoko, airport mbali mbali, mahospital, mifumo ya maji na umeme, maswala ya vitambulisho, elimu zetu, makazi na maeneo mengi.

Watanzania psychologically hawajui kama kesho nyumba Yao itakuwepo au serikali itanunua eneo, hawana Uhakika na Bei ya sukari, hawana Uhakika na vivuko, Bei ya mafuta, Bei ya unga, hawana Uhakika wa mikopo ya chuo, elimu Bure. Kila kitu kimekua politicized. Ajali Kariakoo na ajali nyingine nyingi ni matokeo ya sera mbovu maamuzi mabovu.

Barabara nyingi zinajengwa au kurekebishwa na kesho zinabomolewa Tena. Hakuna kitu kilicho permanent in Tanzania. We waste a lot of money on repairing than building for future generations. We always in projects ambazo zilifanywa vibaya na predecessors.
 
Kimsingi kuishi Bongo ni mateso tu. Bora tuhamie mwezini.
 
Tangu uhuru, Tanzania imekua na Viongozi wengi ambao si wajenzi wa taifa, ni wasuluhishaji wa MATATIZO ma mambo kisiasa na kuacha mianya kesho mwingine aje ale.

Barabara zinajengwa hazimalizi hata decades zinabomolewa, masoko, airport mbali mbali, mahospital, mifumo ya maji na umeme, maswala ya vitambulisho, elimu zetu, makazi na maeneo mengi.

Watanzania psychologically hawajui kama kesho nyumba Yao itakuwepo au serikali itanunua eneo, hawana Uhakika na Bei ya sukari, hawana Uhakika na vivuko, Bei ya mafuta, Bei ya unga, hawana Uhakika wa mikopo ya chuo, elimu Bure. Kila kitu kimekua politicized. Ajali Kariakoo na ajali nyingine nyingi ni matokeo ya sera mbovu maamuzi mabovu.

Barabara nyingi zinajengwa au kurekebishwa na kesho zinabomolewa Tena. Hakuna kitu kilicho permanent in Tanzania. We waste a lot of money on repairing than building for future generations. We always in projects ambazo zilifanywa vibaya na predecessors.
Umesahahau kipindi cha Magu, baadhi ya wanasiasa kutoka upinzani walijiuzulu nafasi zao za ubunge na udiwani; halafu unaitishwa uchaguzi mwingine mdogo kwa kutumia pesa za walipa kodi! Eti wanagombea tena kupitia chama tawala na kushinda!!

Walianzisha kikokotoo kipya, baada ya wadau kulalamika sana! Wakarekebisha kidogo baadhi ya kasoro! Na waimba mapambio wakawapongeza watawala kwa kuwa wasikivu!!
 
Umesahahau kipindi cha Magu, baadhi ya wanasiasa kutoka upinzani walijiuzulu nafasi zao za ubunge na udiwani; halafu unaitishwa uchaguzi mwingine mdogo kwa kutumia pesa za walipa kodi! Eti wanagombea tena kupitia chama tawala na kushinda!!

Walianzisha kikokotoo kipya, baada ya wadau kulalamika sana! Wakarekebisha kidogo baadhi ya kasoro! Na waimba mapambio wakawapongeza watawala kwa kuwa wasikivu!!
TOZO ilianza kama utani jipu mpaka kesho.

Atakuja mtu atasema anajali wananchi kumbe ni tatizo liliwekwa na wao
 
Back
Top Bottom