Tanzania ni Nchi Nzuri Sana na Ina Watu "Wazuri!"

Aaa Jf ina watu wanaofikiri sana nimeipenda sana hii post,ngoja sasa niwagongee thanks.
 

Mkuu umeongea halafu hizo shule zenyewe sasa zina matatizo lukuki kila kukicha ni matatizo,jumamosi nilienda kwenye kikao cha shule moja yaani nilichoka ni matatizo tu tangu hiyo shule imeanza,atakuja diwani atawaambia msijali hii ni shule yetu na itakua nzuri hizi kero zote zitaondoka.
 
13.Anatokea kiongozi mwingine anawafananisha watanzania na mbuzi eti hata wakila majani poa tu ilimradi rada inunuliwe na watanzania walivyopoa wanasema sawa baba kwani kuwa mbuzi,kondoo etc kitu gani...kesho akiomba kura watampa aendelee kuwaita mbuzi wao poa tu...
 

14. Tumeambiwa tutarudishiwa chenji na Uingereza baada ya BAE kukiri kuwahonga wakubwa wetu, kama kawa waliohongwa wakienda majimboni watakubaliwa na watanzania "wazuri!" Who cares?
 
Chama kina ahidi kwamba wananchi wa jamii fulani watapata mahakama ya kadhi lakini wanapiga danadana wee (danganya toto) hatimaye wananchi wataambiwa mchakato unaendelea...na watatoa kura shame!
 
"Watanzania ni wazuri sana! Hata ukiwaomba mlima Kilimanjaro watakupa tu" -- Wachezaji wa timu ya taifa ya Burundi, baada ya mechi na taifa stars Uwanja wa Taifa. Wakishangaa ilikuwaje hawakufungwa, licha ya nafasi zote za wazi... circa 1995.
 
15. Bunge lina hairishwa kirahisirahisi tu eti kamati azija jiridhisha kuwa ripoti zimekamilika, walikuwa wapi miaka yote mbona kila kikao ni hivi?
Naibu spika anasema muda auta ongezwa kwahiyo hizo ripoti azina nafasi tena tusubiri kikao kijacho cha bunge
 

Hayo mambo yanawezekana mahali penye watu "wazuri" kama Tanzania!
 
Watanzania tu wema sana tunagawa tani kwa matani ya dhahabu za mabilioni kwa wageni baadaye tunaenda kwao kutembeza bakuli la dola laki tano tena za mkopo
 
Watanzania tu wema sana tunagawa tani kwa matani ya dhahabu za mabilioni kwa wageni baadaye tunaenda kwao kutembeza bakuli la dola laki tano tena za mkopo

Sure!
 

Ni kweli kwa sababu WaTanzania tumelala usingizi Mnono na Elimu yetu Fupi kama akili zetu zilizo fupi ama kweli waswahili husema kuwa (MIAFRIKA BWANA NDIVYO ILIVYO)tuamkeni kuchaguwa viongozi wenye Elimu jamani Hatuna Maji Masafi,Hatuna umeme Uchumi tunao tunaukalia kwanini jamani Tuamkeni ndugu zangu WaTanzania
 
just an observation.

ugandans form rebel millitias to protest the govt, kenyans will take to the streets in a moments notice to protest the govt, tanzanians will peacefully protest the govt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…