Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo watu wake hushindana kujenga fremu za biashara lakini hawashindani kupata wateja wa hizo fremu

Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo watu wake hushindana kujenga fremu za biashara lakini hawashindani kupata wateja wa hizo fremu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Biashara yeyote duniani ikianzishwa watu wenye biashara huanzisha ushindani wa kutafuta wateja.

Tanzania ni nchi pekee duniani ambapo watu hushindana kujenga fremu za biashara lakini hawashindani kutafuta wateja wa kupangisha fremu na hivyo kusababisha mifremu mingi kuwa mitupu isiyo na wapangaji.

Kila mtu huota kujenga fremu za kupangisha lakini hajui hata wapangaji atawapata wapi wala vipi.

Tanzania ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na fremu nyingi za biashara zisizo na wapangaji.
 
Kuna baadhi ya maeneo fremu n ni bonge ya dilii....
Umenikumbusha kitu sitaki kukumbuka..

Juzi kuna sehem hapa kitaa jamaa alikua anahama, akawa anahamisha dhana ile asubuhi,
Nikapita nikamuuliza hii frem ishabookiwa? Aksema hapana waweza book, nikapita nikasema jioni narudi kuongea biashara...

Narudi nakuta mtu anafuta maandishi ya
'INAPANGISHWA' anasema ile sijamaliza neno .....SHA watu washa jaa...

Battle ikaja nani achukue, muuzaji akakaa pembeni, matokeo yake bei aliyopanga kuiuzia/pangisha ilienda mara mbili na nusu...bila yy mwenyewe kupandisha...
Hamna kitu najuta km kilee, alikua ananiachia kwa beiya kawaida sanaaa....
 
Back
Top Bottom