Kwenye fremu za kupanga za Tanzania laws za demand ,supply na price hazifanyi kazi ndio maana mi fremu mingi ya biashara Tanzania mijini na vijijini haina watejaKanuni ya demand and supply ina apply kwenye biashara yyte....usitudanganye
Matumizi mabaya ya rasilimali ardhi, fedha na muda.zikiwa nyingi ndio vizuri na bei inapungua mkuu. halafu zinapendezesha mji
Wazungu wanalima nyanya ,na mboga kwenye makopo wewe una plot sqm 1500 unaziangalia tu huku unaenda kununua mboga sokoni, pumbavuuu in Ray Kigosi voiceHapo umeharibu kusema unapanda mazao... sasa nyumba inageuka bustani tena au shamba aisee. Nyumba ijaze miti ya kudumu around it basi!
Kama eneo lako ni kubwa weka au tenga sehemu maalum kwajili ya shamba /bustani kinyume na hapo achana na mambo ya kuweka misitu ya mazao nyumbani
Waafrika ndivo tulivyo, tuna hii kitu vichwani mwetu inaitwa 'survival mindset' yaani karibu kila kitu kinachotuzunguka tunatamani tukitumie ili kitupunguzie ukali wa maisha.Mie mbele eneo lililobak unaweza weka frem hata 8! Lakini kila mtu akija anakuambia weka frem[emoji1787]nawaambia za nn huku jaman..kumepoa unamwekea nan frem..mwingine anakuambia toa maua ww lima mahindi[emoji1787][emoji1787]!cha!...
Uko sahihi ziko kibao zinauza Hadi ubuyu na karanga za Mia miaWaafrika ndivo tulivyo, tuna hii kitu vichwani mwetu inaitwa 'survival mindset' yaani karibu kila kitu kinachotuzunguka tunatamani tukitumie ili kitupunguzie ukali wa maisha.
Si ajabu ukakuta nyumba yenye thamani zaidi ya millioni 200 ukakuta imeandikwa nje 'tunauza ice cream za shillingi 50'
Waafrika ndivo tulivyo, tuna hii kitu vichwani mwetu inaitwa 'survival mindset' yaani karibu kila kitu kinachotuzunguka tunatamani tukitumie ili kitupunguzie ukali wa maisha.
Si ajabu ukakuta nyumba yenye thamani zaidi ya millioni 200 ukakuta imeandikwa nje 'tunauza ice cream za shillingi 50'
Msomaji wa comment nimekuelewa kuliko mtoa mada.tatizo hawapunguzi Bei,wako radhi frame ikae miaka kumi bila mpangaji kuliko kuamua kushusha Bei na kupata mteja,
Mleta maada anamaanisha hivyo kwamba Hawa watu hawafuati principle za biashara,Demand,Supply,Price
Fremu unaenda nje ya mji hata watu hamna mwenyewe anakwambia Kodi laki na nusu na lazima ulilipe kwa mwaka!!!!! Unashangaa!!!! Eneo pori tu watu ndio kwanza wanajenga mmoja mmoja kwa mbaliiii .Lakini mwenye fremu kakomaaa tu Kama mwehu hata hajiongezi kujua mazingiraFremu Zako
Waliowengi mitaji tulionayo ni midogo. Kipato kinakuwa kidogo ,huwezi kuongeza presha ya KODI . pia mzunguko sio mzuri.
Waafrika ndivo tulivyo, tuna hii kitu vichwani mwetu inaitwa 'survival mindset' yaani karibu kila kitu kinachotuzunguka tunatamani tukitumie ili kitupunguzie ukali wa maisha.
Si ajabu ukakuta nyumba yenye thamani zaidi ya millioni 200 ukakuta imeandikwa nje 'tunauza ice cream za shillingi 50'
Fremu ya Laki nusu mtaji ukiwa mdogo usipungue m10. Afu unakopa 3bank inakuwa 13m.Fremu unaenda nje ya mji hata watu hamna mwenyewe anakwambia Kodi laki na nusu na lazima ulilipe kwa mwaka!!!!! Unashangaa!!!! Eneo pori tu watu ndio kwanza wanajenga mmoja mmoja kwa mbaliiii .Lakini mwenye fremu kakomaaa tu Kama mwehu hata hajiongezi kujua mazingira
Tatizo la Wenye fremu kuweka Bei unrealistic utasikia ohhh nimejenga hizi fremu kwa shida Sana.Kwa hiyo mihasira yake anaipeleka kwa mpangaji bila kujali laws za demand ,supply na price.Matokeo yake mpangaji anazira na kumwachia mifremu yakeFremu ya Laki nusu mtaji ukiwa mdogo usipungue m10. Afu unakopa 3bank inakuwa 13m.
Pia eneo liwe linaeleweka kiasi.
UshambaMtu anajenga nyumba ya kisasa mbele anaweka mifremu!haiji tokea kbs kwangu[emoji55]