Tanzania ni nchi tajiri ya 'wanasiasa malaya'

Tanzania ni nchi tajiri ya 'wanasiasa malaya'

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa kuna wanasiasa malaya, na akaongeza kuwa wanasiasa malaya wana bei. Ukiifikia bei yake, ananunulika.

Ukweli huu wa mwalimu unaishi mpaka leo. Tuna wanasiasa wachache sana wa itikadi, yaani wale ambao liwake jua au inyeshe huwezi kuwaondoa katika kile wanachokiamini. Lakini ukweli ni kwamba, Tanzania tuna wanasiasa wengi ambao kiuhalisia wanatafuta maisha kupitia siasa. Hawa ni kama wachezaji wa mpira. Wanatafuta riziki. Riziki kubwa ikiwa Azam, atahama toka Simba kwenda Azam. Na siku riziki ikiwa kubwa zaidi Yanga kuliko Azam, anaondoka Azam kwenda Yanga.

Mifano ya wanasiasa wa namna hiyo ni mingi. Lakini mfano wa karibuni, ni huu wa ndugu yetu Msigwa:

1) Msigwa akizungumzia uozo uliopo ndani ya CCM, alisema kuwa siku akiondoka CHADEMA, akaenda CCM, wananchi wa Iringa wachome moto nyumba na magari yake. Je, leo anaweza kuyarudia maneno hayo tena?

2) Msigwa aliwahi kusema kuwa matatizo yote ya nchi hii yamesababishwa na CCM, na hivyo haiwezekani CCM hiyo hiyo ikayatatua matatizo iliyoyasababisha yenyewe. Je, leo anaweza kuyanena hayo?

3) Msigwa aliwahi kutamka kuwa CCM walitaka kumnunua, na Ndugai alimfikishia ujumbe kuwa Rais Magufuli anamkaribisha Ikulu, na akikubali kuihama CHADEMA akaenda CCM, Magufuli ameahidi kumpa uwaziri. Lakini yeye Msigwa akadai ana msimamo, siyo mtu anayeweza kununuliwa hovyo hovyo kama ilivyofanyika kwa wengine. Je, anaweza kuyanena hayo tena leo? Au yeye umenunuliwa vizuri, siyo hovyo hovyo kama wenzake?

4) Hivi karibuni, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, aliwaambia kuwa, baada ya kuukosa uongozi ndani ya chama chake, kuna watu walikuwa wanasubiria atangaze kuhamia CCM. Akasema hilo halitaweza kutokea, kwani yeye hakuwepo CHADEMA kwa sababu ya cheo. Je, anaweza kuyasema hayo hata leo?

5) Msigwa anasema CHADEMA imekuwa SACCOS ya mtu mmoja, lakini hakuwahi kuyanena hayo miaka yote alipokuwa kiongozi wa CHADEMA. Au anataka tuamini kuwa yeye aliifanya Kanda ya Nyasa kuwa SACCOS yake binafsi, hivyo alivyoondolewa ameshangaa inakuwaje mwenye SACCOS kuondolewa?

NB. Lakini wenye macho ya kuona mbali, walikuwa na mashaka na Msigwa tangu pale viongozi wote wa CHADEMA walipowekwa jela, halafu yeye akatolewa kwa pesa iliyotajwa kuwa ilitolewa na Hayati Magufuli.

Ujumbe ni mmoja tu, nchi haiendi wanapopatarajia wananchi kwa sababu viongozi wengi wanatafuta uongozi ili kuyategemeza maisha yao

SAFARI YETU YA KUPATA MABADILIKO CHANYA, BADO NI NDEFU NA NGUMU, Japo hatutakiwi kukata tamaa.

Tukumbuke, kwa kila harakati, hawakosekani wasaliti, wanafiki, waongo na mamluki.

Hivi kweli kwa mtu yeyote anayechukia udikteta au rushwa, anaweza kutoka chama chochote cha upinzani, akaenda CCM?
 
Tena mtu anaitwa mchungaji kumbe ni ndumilakuwili. Kwa mujibu wa biblia huyu mtu hafai kuwa mchungaji. Ndio maana siwaamini wapinzani maana wengi wananunulika kwa shekeli.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa kuna wanasiasa malaya, na akaongeza kuwa wanasiasa malaya wana bei. Ukiifikia bei yake, ananunulika.

Ukweli huu wa mwalimu unaishi mpaka leo. Tuna wanasiasa wachache sana wa itikadi, yaani wale ambao liwake jua au inyeshe huwezi kuwaondoa katika kile wanachokiamini. Lakini ukweli ni kwamba, Tanzania tuna wanasiasa wengi ambao kiuhalisia wanatafuta maisha kupitia siasa. Hawa ni kama wachezaji wa mpira. Wanatafuta riziki. Riziki kubwa ikiwa Azam, atahama toka Simba kwenda Azam. Na siku riziki ikiwa kubwa zaidi Yanga kuliko Azam, anaondoka Azam kwenda Yanga.

Mifano ya wanasiasa wa namna hiyo ni mingi. Lakini mfano wa karibuni, ni huu wa ndugu yetu Msigwa:

1) Msigwa akizungumzia uozo uliopo ndani ya CCM, alisema kuwa siku akiondoka CHADEMA, akaenda CCM, wananchi wa Iringa wachome moto nyumba na magari yake. Je, leo anaweza kuyarudia maneno hayo tena?

2) Msigwa aliwahi kusema kuwa matatizo yote ya nchi hii yamesababishwa na CCM, na hivyo haiwezekani CCM hiyo hiyo ikayatatua matatizo iliyoyasababisha yenyewe. Je, leo anaweza kuyanena hayo?

3) Msigwa aliwahi kutamka kuwa CCM walitaka kumnunua, na Ndugai alimfikishia ujumbe kuwa Rais Magufuli anamkaribisha Ikulu, na akikubali kuihama CHADEMA akaenda CCM, Magufuli ameahidi kumpa uwaziri. Lakini yeye Msigwa akadai ana msimamo, siyo mtu anayeweza kununuliwa hovyo hovyo kama ilivyofanyika kwa wengine. Je, anaweza kuyanena hayo tena leo? Au yeye umenunuliwa vizuri, siyo hovyo hovyo kama wenzake?

4) Hivi karibuni, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, aliwaambia kuwa, baada ya kuukosa uongozi ndani ya chama chake, kuna watu walikuwa wanasubiria atangaze kuhamia CCM. Akasema hilo halitaweza kutokea, kwani yeye hakuwepo CHADEMA kwa sababu ya cheo. Je, anaweza kuyasema hayo hata leo?

5) Msigwa anasema CHADEMA imekuwa SACCOS ya mtu mmoja, lakini hakuwahi kuyanena hayo miaka yote alipokuwa kiongozi wa CHADEMA. Au anataka tuamini kuwa yeye aliifanya Kanda ya Nyasa kuwa SACCOS yake binafsi, hivyo alivyoondolewa ameshangaa inakuwaje mwenye SACCOS kuondolewa?

NB. Lakini wenye macho ya kuona mbali, walikuwa na mashaka na Msigwa tangu pale viongozi wote wa CHADEMA walipowekwa jela, halafu yeye akatolewa kwa pesa iliyotajwa kuwa ilitolewa na Hayati Magufuli.

Ujumbe ni mmoja tu, nchi haiendi wanapopatarajia wananchi kwa sababu viongozi wengi wanatafuta uongozi ili kuyategemeza maisha yao

SAFARI YETU YA KUPATA MABADILIKO CHANYA, BADO NI NDEFU NA NGUMU, Japo hatutakiwi kukata tamaa.

Tukumbuke, kwa kila harakati, hawakosekani wasaliti, wanafiki, waongo na mamluki.

Hivi kweli kwa mtu yeyote anayechukia udikteta au rushwa, anaweza kutoka chama chochote cha upinzani, akaenda CCM?
Tatizo jingine na nchi hii ni machawa Malaya wa siasa kama wewe
 
BAVICHA mtamaliza kila aina ya msamiati.. ccm baba lao
 
Leo ndiyo umekubaliana n Magufuli kwamba nchi ni tajiri? Na bado mtatubu sana tu
 
Hata Maiti inaweza kuwa Raisi wa Tanzania na ikatutawala.
 
Ni siasa safi na ni uhuru wa mtu kuelekea pale unapoona Pana usahihi, ukweli, haki, usawa, utu, n.k.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa kuna wanasiasa malaya, na akaongeza kuwa wanasiasa malaya wana bei. Ukiifikia bei yake, ananunulika.

Ukweli huu wa mwalimu unaishi mpaka leo. Tuna wanasiasa wachache sana wa itikadi, yaani wale ambao liwake jua au inyeshe huwezi kuwaondoa katika kile wanachokiamini. Lakini ukweli ni kwamba, Tanzania tuna wanasiasa wengi ambao kiuhalisia wanatafuta maisha kupitia siasa. Hawa ni kama wachezaji wa mpira. Wanatafuta riziki. Riziki kubwa ikiwa Azam, atahama toka Simba kwenda Azam. Na siku riziki ikiwa kubwa zaidi Yanga kuliko Azam, anaondoka Azam kwenda Yanga.

Mifano ya wanasiasa wa namna hiyo ni mingi. Lakini mfano wa karibuni, ni huu wa ndugu yetu Msigwa:

1) Msigwa akizungumzia uozo uliopo ndani ya CCM, alisema kuwa siku akiondoka CHADEMA, akaenda CCM, wananchi wa Iringa wachome moto nyumba na magari yake. Je, leo anaweza kuyarudia maneno hayo tena?

2) Msigwa aliwahi kusema kuwa matatizo yote ya nchi hii yamesababishwa na CCM, na hivyo haiwezekani CCM hiyo hiyo ikayatatua matatizo iliyoyasababisha yenyewe. Je, leo anaweza kuyanena hayo?

3) Msigwa aliwahi kutamka kuwa CCM walitaka kumnunua, na Ndugai alimfikishia ujumbe kuwa Rais Magufuli anamkaribisha Ikulu, na akikubali kuihama CHADEMA akaenda CCM, Magufuli ameahidi kumpa uwaziri. Lakini yeye Msigwa akadai ana msimamo, siyo mtu anayeweza kununuliwa hovyo hovyo kama ilivyofanyika kwa wengine. Je, anaweza kuyanena hayo tena leo? Au yeye umenunuliwa vizuri, siyo hovyo hovyo kama wenzake?

4) Hivi karibuni, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, aliwaambia kuwa, baada ya kuukosa uongozi ndani ya chama chake, kuna watu walikuwa wanasubiria atangaze kuhamia CCM. Akasema hilo halitaweza kutokea, kwani yeye hakuwepo CHADEMA kwa sababu ya cheo. Je, anaweza kuyasema hayo hata leo?

5) Msigwa anasema CHADEMA imekuwa SACCOS ya mtu mmoja, lakini hakuwahi kuyanena hayo miaka yote alipokuwa kiongozi wa CHADEMA. Au anataka tuamini kuwa yeye aliifanya Kanda ya Nyasa kuwa SACCOS yake binafsi, hivyo alivyoondolewa ameshangaa inakuwaje mwenye SACCOS kuondolewa?

NB. Lakini wenye macho ya kuona mbali, walikuwa na mashaka na Msigwa tangu pale viongozi wote wa CHADEMA walipowekwa jela, halafu yeye akatolewa kwa pesa iliyotajwa kuwa ilitolewa na Hayati Magufuli.

Ujumbe ni mmoja tu, nchi haiendi wanapopatarajia wananchi kwa sababu viongozi wengi wanatafuta uongozi ili kuyategemeza maisha yao

SAFARI YETU YA KUPATA MABADILIKO CHANYA, BADO NI NDEFU NA NGUMU, Japo hatutakiwi kukata tamaa.

Tukumbuke, kwa kila harakati, hawakosekani wasaliti, wanafiki, waongo na mamluki.

Hivi kweli kwa mtu yeyote anayechukia udikteta au rushwa, anaweza kutoka chama chochote cha upinzani, akaenda CCM?
Mimi kwanza nawashangaa mnaomjadili Msigwa bila kumwuliza ni nini kimemfanya aende huko?badala yake mnamhukumu kirahisi rahisi.lakini hiyo ndo demokrasia.kila mtu anahiari ya kwenda kokote analotaka na hazuiwi na yeyote.mbona sumaye na kisasa waliondoka ccm na kwenda chadema iweje leo mshangae Msigwa kwenda ccm?huu utakuwa ni unafiki uliopitiliza.wakihama watu kutoka ccm kwenda ni lini vice versa ni haramu.mm si mwumini sana wa siasa za bongo sababu najua wabongo ni hypocricy.kama hakupata malisho huko cdm mwacheni akayatafute kwingine ndivyo walivyo.
 
Hii nchi haina utajiri wowote, ni natural resources za kawaida sana na sio za kiwango cha juu.
Tumeona Nzega, na maeneop mengi yanachimbwa dhahabu haipiti hata miaka kumi mgodi unafungwa
Uranium yenyewe ni kiduchu, hata haijai kwenye kiganja, mafuta ni tialalila, kama yapo yangesha onekana zamani tu, na gesi wazungu wametukimbia na kwenda Mozambique, acheni perepete za upande wa kutolamba asali, hata asali yenyewe huko wanagombania, kwa sababu hii nchi sio tajiri
Mnajidanganya sana kila siku kusema nchi tajiri, Nendeni mkalime mjitosheleshe na chakula zaidi ya hapo kaeni kwa kutulia.
 
Mimi kwanza nawashangaa mnaomjadili Msigwa bila kumwuliza ni nini kimemfanya aende huko?badala yake mnamhukumu kirahisi rahisi.lakini hiyo ndo demokrasia.kila mtu anahiari ya kwenda kokote analotaka na hazuiwi na yeyote.mbona sumaye na kisasa waliondoka ccm na kwenda chadema iweje leo mshangae Msigwa kwenda ccm?huu utakuwa ni unafiki uliopitiliza.wakihama watu kutoka ccm kwenda ni lini vice versa ni haramu.mm si mwumini sana wa siasa za bongo sababu najua wabongo ni hypocricy.kama hakupata malisho huko cdm mwacheni akayatafute kwingine ndivyo walivyo.
Yaani watu wamwulize Msigwa kwa nini amehama, wakati tayari amekwishatamka, japo sababu zenyewe, kwa mwenye akili ataona za kipuuzi na uwongo?

Mara CHADEMA haina demokrasia, je, anakoenda ipo? Mara amehama kwa sababu nchi ni muhimu kuliko chama, mbona ameenda kwenye chama?

Lakini zikumbuke kauli zake za huko nyuma dhidi ya CCM.
 
Hii nchi haina utajiri wowote, ni natural resources za kawaida sana na sio za kiwango cha juu.
Tumeona Nzega, na maeneop mengi yanachimbwa dhahabu haipiti hata miaka kumi mgodi unafungwa
Uranium yenyewe ni kiduchu, hata haijai kwenye kiganja, mafuta ni tialalila, kama yapo yangesha onekana zamani tu, na gesi wazungu wametukimbia na kwenda Mozambique, acheni perepete za upande wa kutolamba asali, hata asali yenyewe huko wanagombania, kwa sababu hii nchi sio tajiri
Mnajidanganya sana kila siku kusema nchi tajiri, Nendeni mkalime mjitosheleshe na chakula zaidi ya hapo kaeni kwa kutulia.
Hatuzungumzii utajiri wa rasilimali asilia, tunazungumzia utajiri wa 'wanasiasa malaya'
 
Maswali mazuri mwa malayer wote wa kisiasa, wanawaona wananchi wao hawana chembe ya akili
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Back
Top Bottom