Tanzania ni Nchi ya Pili Duniani kwa Kuwa na Vivutio Vingi vya Utalii

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Mhe. David kihenzile aridhishwa na maendeleo, usimamizi na maboresho yanayoendelea kwenye uwanja wa ndege wa Arusha ikiwemo Ujenzi wa jengo jipya la abiria Kiwanjani hapo.

Akizungumza Jijini Arusha mara baada ya kukagua jengo la abiria kiwanjani hapo Naibu Waziri Kihenzile amesema Tanzania ni ya pili Kwa kuwa na vivutio vingi vya utalii duniani hivyo Serikali itahakikisha inaboresha Miundombinu ya viwanja ili kurahisisha huduma za usafiri wa anga Nchini.

 
Hii ni uongo..... Tanzania haipo hata top 10

1. Italy
2. France
3. Spain
4. US
5. China
6. Japan
7. Greece
8. AUSTRALIA
9. EGYPT
10. THAILAND

Kila kitu hawa jamaa kwao ni siasa yani.
 
Iwe ya pili kwa vivutio alafu ya elfu sita kwa kupata watalii?
 
Hii ni uongo..... Tanzania haipo hata top 10

1. Italy
2. France
3. Spain
4. US
5. China
6. Japan
7. Greece
8. AUSTRALIA
9. EGYPT
10. THAILAND

Kila kitu hawa jamaa kwao ni siasa yani.
Tuwekee source yako tafadhali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…