Tanzania ni nchi yenye furaha sana

Tanzania ni nchi yenye furaha sana

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua.

Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
 
Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua. Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
Dah kwanini ulibadilisha avatar picha yako yenye umbo kama taqoh
 
Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua.

Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
.
IMG-20200521-WA0017.jpg


Jr[emoji769]
 
Kuwa na stress ni kujiamulia mwenyewe tu hata kwani hata hotuba za mkulu zinatosha kuondoa stress .
 
kuwa mtanzania tu yaani ni furahaaaaa
hureeeeeee
 
Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua.

Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
MATAGA utakuwa umedata, msilazimishe mambo
 
Back
Top Bottom