Dah kwanini ulibadilisha avatar picha yako yenye umbo kama taqohSiku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua. Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
He is back and verifiedWANAOTOA TAKWIMU INABIDI WAPITIE VIGEZO VYAO KWANZA TUONE TUMESOGEA WAPI KIFURAHA DUNIANI KIUKWELI
.Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua.
Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
Sure aiseeWANAOTOA TAKWIMU INABIDI WAPITIE VIGEZO VYAO KWANZA TUONE TUMESOGEA WAPI KIFURAHA DUNIANI KIUKWELI
Mkuu umehadimika mkuuWANAOTOA TAKWIMU INABIDI WAPITIE VIGEZO VYAO KWANZA TUONE TUMESOGEA WAPI KIFURAHA DUNIANI KIUKWELI
HahahaaaYaani wabongo ni comedians wazuri sana...hatuna stress sie braza Jr.[emoji16][emoji16]
Nimerudi mkuu kwa mudaMkuu umehadimika mkuu
MATAGA utakuwa umedata, msilazimishe mamboSiku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua.
Kwa ufupi tunapeana burudani ya kutosha humu online. Nadhani zile takwimu za kuwa hatuna furaha sasa ziwe reviewed tuwemo kwenye orodha ya top ten ya mataifa yenye furaha.
Umepaniki mataga ndio kitu gani. Call me by my name. Mnakula pesa mnaharibu chama mnakuja kuita kila mtu asiekubaliana nanyi mataga, I don't side with any political party in Tanzania. Niombe radhi.MATAGA utakuwa umedata, msilazimishe mambo