Tanzania ni ya 48 kati ya wanachama 54 wa CAF

Hadi comoro, si huko yanga anaendaga kupiga kumi jamani? So national team yao iko juu yetu
 
Hebu jaribu kuwaza siku Zanzibar wanakuwa wanachama was FIFA halafu kwenye Ranking wanakuwa juu ya Tanzania bara!
 
Hadi Burundi imetupita afu S Sudan anaipumulia Tz kisogoni tooo sad.
[emoji22] [emoji22] [emoji22]
 
soka sio fani yetu. nashangaa Majaliwa kuzuia viroba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…