Tanzania ni ya 6 afrika kwa soko la bia

Mbona nasikia siku hizi viroba vinauzika sana kuliko bia?
 
Kuwa wa 6 hakumaanishi kuboreka kwa hali ya maisha. Ni class gani ya watu wananunua bia, na wananunua kwa kiwango gani?
 
Hata chuma chakavu (gongo) ina nyweka sana na juzijuzi imeleta maafa Kigogo.
 
[SIZE=-1]Is it so bad, then, to be misunderstood? Pythagoras was misunderstood, and Socrates, and Jesus, and Luther, and Copernicus, and Galileo, and Newton, and every pure and wise spirit that ever took flesh. To be great is to be misunderstood.[/SIZE]
[SIZE=-1]RALPH WALDO EMERSON[/SIZE]
 
drink beer to save water... mtera inakauka jamani
 
Hata chuma chakavu (gongo) ina nyweka sana na juzijuzi imeleta maafa Kigogo.

katika siku nimecheka, leo nimecheka sana. yaani gongo ndio inaitwa chuma chakavu, Ubungo we ni nouma
 
thats gud, I like it!
serikali inachojua ni kuongeza bei ya bia tu , siipendi sisiemu ha ha ha ha lol... badala ya kupandisha miraba ya madini, wao wanafikiria kupandhishia bei ya bia ili wapate pesa ya kulipa walimu
 
Mbona hiyo habari ukiisoma inaonyesha kama ina utata, wanaongelea bia zinazouzwa na Diageo International, na kwa Tanzania hao Diageo wanamiliki Serengeti breweries tu, na Serengeti wanachini ya asilimia 20 ya soko la bia Tanzania, sasa sielewi hizo takwimu zimefanywaje!
 
Aiseee baba yangu mbona sioni mbege wakati asilikia 95 ya huku rombo ndio kinywaji chetu

mbege ya leo inaukakasi
 
Kitu Tyson cha Arusha ndio mpango mzima! Bila kusahau K-Vant kudadadadeki!
 
Hizo data wapewe uamsho zaweza kuwasaidia kukadilia idadi yao badala ya kung'ang'ania kipengele cha dini kwenye sensa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…