Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Jaribu kushirikisha ubongo wako kabla hujapost kitu humu.Mashabiki wa Simba wameshapoteza kujiamini wanapocheza na Yanga. Yaani ni bora uwaambie wakacheze na Al Ahly au TP Mazembe lakini si Yanga.
Huwaoni kuvaa jezi za timu yao. Wamepotea sana mtaani, Yanga tu ndiyo wanaonekana. Hawana wasiwasi kabisa na mechi ya leo. Tanzania nzima naambiwa hali ni hii hii. Na kibaya zaidi uongozi wa Simba umegoma kujihusisha na ushirikina wowote.
Viongozi wanasema mpira ukachezwe uwanjani. Na wamesisitiza watapita lango kuu na kila kitu watafanya kama inavyopaswa kuwa.
Yanga mapema tu huu mchezo wameshinda. Bila longolongo kabisa. Daima mbele nyuma ni mwiko.
Wewe tu ndiyo huwaoni. Kamuone daktari wa macho au una upofu wa rangi (nyekundu).Mashabiki wa Simba wameshapoteza kujiamini wanapocheza na Yanga. Yaani ni bora uwaambie wakacheze na Al Ahly au TP Mazembe lakini si Yanga.
Huwaoni kuvaa jezi za timu yao. Wamepotea sana mtaani, Yanga tu ndiyo wanaonekana. Hawana wasiwasi kabisa na mechi ya leo. Tanzania nzima naambiwa hali ni hii hii. Na kibaya zaidi uongozi wa Simba umegoma kujihusisha na ushirikina wowote.
Viongozi wanasema mpira ukachezwe uwanjani. Na wamesisitiza watapita lango kuu na kila kitu watafanya kama inavyopaswa kuwa.
Yanga mapema tu huu mchezo wameshinda. Bila longolongo kabisa. Daima mbele nyuma ni mwiko.
Naona wewe unashirikisha masaburi yako tu humu.Jaribu kushirikisha ubongo wako kabla hujapost kitu humu.
Ule wingi wa mashabiki wa Simba zaidi wa wa Yanga pale uwanjani ni dhahiri walioogopa hata kufika uwanjani wanajulikana.Mashabiki wa Simba wameshapoteza kujiamini wanapocheza na Yanga. Yaani ni bora uwaambie wakacheze na Al Ahly au TP Mazembe lakini si Yanga.
Huwaoni kuvaa jezi za timu yao. Wamepotea sana mtaani, Yanga tu ndiyo wanaonekana. Hawana wasiwasi kabisa na mechi ya leo. Tanzania nzima naambiwa hali ni hii hii. Na kibaya zaidi uongozi wa Simba umegoma kujihusisha na ushirikina wowote.
Viongozi wanasema mpira ukachezwe uwanjani. Na wamesisitiza watapita lango kuu na kila kitu watafanya kama inavyopaswa kuwa.
Yanga mapema tu huu mchezo wameshinda. Bila longolongo kabisa. Daima mbele nyuma ni mwiko.
Ule wingi wa mashabiki wa Simba zaidi wa wa Yanga pale uwanjani ni dhahiri walioogopa hata kufika uwanjani wanajulikana.Mashabiki wa Simba wameshapoteza kujiamini wanapocheza na Yanga. Yaani ni bora uwaambie wakacheze na Al Ahly au TP Mazembe lakini si Yanga.
Huwaoni kuvaa jezi za timu yao. Wamepotea sana mtaani, Yanga tu ndiyo wanaonekana. Hawana wasiwasi kabisa na mechi ya leo. Tanzania nzima naambiwa hali ni hii hii. Na kibaya zaidi uongozi wa Simba umegoma kujihusisha na ushirikina wowote.
Viongozi wanasema mpira ukachezwe uwanjani. Na wamesisitiza watapita lango kuu na kila kitu watafanya kama inavyopaswa kuwa.
Yanga mapema tu huu mchezo wameshinda. Bila longolongo kabisa. Daima mbele nyuma ni mwiko.
Epuka kuonesha waz waz kiwango chako cha UBWEGEMashabiki wa Simba wameshapoteza kujiamini wanapocheza na Yanga. Yaani ni bora uwaambie wakacheze na Al Ahly au TP Mazembe lakini si Yanga.
Huwaoni kuvaa jezi za timu yao. Wamepotea sana mtaani, Yanga tu ndiyo wanaonekana. Hawana wasiwasi kabisa na mechi ya leo. Tanzania nzima naambiwa hali ni hii hii. Na kibaya zaidi uongozi wa Simba umegoma kujihusisha na ushirikina wowote.
Viongozi wanasema mpira ukachezwe uwanjani. Na wamesisitiza watapita lango kuu na kila kitu watafanya kama inavyopaswa kuwa.
Yanga mapema tu huu mchezo wameshinda. Bila longolongo kabisa. Daima mbele nyuma ni mwiko.
Naona unaogopa ushindani? We mbona unaonesha nobody blames you?Epuka kuonesha waz waz kiwango chako cha UBWEGE