Tanzania nzima inaweza msahau Hayati Magufuli ila sio Tabora

Kwani Tz kuna wapinzani ? Hauko serious, hapa tuna wanaharakati tu na wachumia tumbo
Umekosea badala yake Ungesema "Kwani Tanzania Viongozi uchaguliwa?" Viongozi wa nchi hii "wanaccm" wanapachikwa na Dolla kwani CCM sio chama cha Siasa, bali ni Mkusanyiko wa ( Police, TISS, Tume ya Uchaguzi, Wakurugezi wa wilaya, DC's and RC's .. etc.
 
Wewe ndiye unatumika kijinga hivi unajua hasara aliyoisababisha magufuli?

Ndio maana ni popular kwa watu wajinga na wapumbavu kama wewe

Ila MTU yeyote aliyefanya naye kazi anajua kilichokuwa kinaen
Hasara gani? Uhuni tu unaoendelea kila mtu anaona mnachofanya, wanaotia hasara ninyie msiokuwa na huruma na nchi hii.
 
hujui chochote chief. kikubwa marehem aachwe apumzike coz hawez kujitetea tena. lakn uclazimishe watu wamuone kama wewe. kuna waliopotea kufa na kung'olewa meno na hata kufilisiwa watamuona jambaz na kuna walioneemeka kama wewe watamhusudu. but uclazimishe furaha kwa kila mtu. kitu kimoja kinachonishangaza nchi hii ni kule mtu kufanya kaz aliyoomba halafu watu wanadhan ni hisan. hii ni akili ya kimasikin sana. nachokuomba mkuu someshen watoto aisee. mi nilikotoka tangu nazaliwa mirad asilimia mpaka 80 inafanywa na wananchi wenyewe. hapa nilipo kuna group zaid ya nne zote ni za michango ya vitu vya kufanya kijijin. ukisubir serikal ikufanyie jambo ndio utafsir ni maendeleo umekwisha mzee. jitahdn msomeshe vijan then wao ndio watafsir maendeleo kwa vitendo sio kuletewa.
 
Huna akili kabisa.

Chadema wanakusanya michango kila siku lakini makao makuu yao ni kama choo
 
Huna akili kabisa.

Chadema wanakusanya michango kila siku lakini makao makuu yao ni kama choo
ndio nakuambia una akili za kimasikin ckulaum chief. inawezekana mazingira uliyokulia. we kwa akili yako kila mtu ambae hakubalian na wewe ni chadema. kwa taarifa yako upinzan mkubwa wa mzee ulikuwa ccm na ndio waliokuwa wanampa stress. narudia kukushaur peleka watoto shule mzee. ucsubir serikal kufanya jambo ndio utafsir ni maendeleo. ndio maana wagen wakija wanaoziona fursa wakat huo cc tunabak kuilaum serikal. mzee alikuja akatawala sasa hv mzee ni histor awe amefanya mabaya au mema kwako anatakiwa kubak ni somo. mengine yote ni stor chie.
 
Ndio maana nikasema hakuna upinzani. Ungekuwepo upinzani wa kweli hayo yote yasingekuwepo.
 
Wakati unamkumbuka JPM kwa maji mkoani Tabora pia kumbuka damu ya AKWILINA iliyomwagika bila hatia .pia mkumbuke yatima aliyeondokewa na baba yake AZORY GWANDA.
 
Pumba tupu,huo mradi kapeleka Magu au Serikali
 
Rais asipoleta maji mbona huwa unamlaumu?

Alafu hii mada inaongelea uwanja wa ndege chato au maji tabora?
Hilo la maji ni wajibu was Serikali....wanaotakiwa kimlolia ni Chato ....ambao aliwapelekea miradi kiupendeleo!
 
Namaliza kwa kusema kwamba.
 
Basi wakumbushe na usafi maan amkoa wa Tabora ukifika utasema hakuna watendaji kata na watendaji wa mitaa mji mchafu nyasi zinaita hakuna kufyekw afuka mjini sana pale kituo cha bus Kuna Rami ila imechafuka utasema barabara ya vumbi mji mchafu mchafu yani mchafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…