Hii wala haihitaji utafiti. Kwa resources tulizo nazo; madini ya kila aina hadi uranium, vivutio kibao vya utalii, billions of metric tons of natural gas, maziwa na bahari, geographical location, ardhi nzuri kwa kilimo, hali ya hewa nzuri, mifugo, watu wakarimu, nk. Tanzania (or Tanganyika if you like) ina uwezo sio wa kuipita tu Kenya bali kuwa the leading economy in Africa.
Tunachohitaji, ni viongozi wenye vision na sera bora na sahihi za kiuchumi. Wenye nidhamu na uwezo mzuri wa kusimamia sera na sheria za nchi kwa ukamilifu. Huu wala sio muujiza, inawezekana.