Amina.daaah kwakweli tumebarikiwa, mwenyezi Mungu atuhurumie na aennnndelee kutupa amani. Amiiin!
kwani umekatazwa kwenda serengeti na hifadhi nyingine??wageni ndo wanafaidi vya kwetu.
kwani nimekwambia sijawahi kwenda? mimi hapo nimeongelea majority na wala siyo swala la mimi........kwani umekatazwa kwenda serengeti na hifadhi nyingine??