Tanzania photos (Tanzania's wildlife and natural beauty)

mbona utajili hatuna wakati maliasili tunazo za lipase?
 
Safi sana laiti kama watanzania wanafahamu umuhimu wa mali asili zao na utalii wa ndani.. :flypig::israel:

  • :israel:


 
Real beautiful,ila sisi hatuna utamaduni wa kutembelea mbuga zetu na ni bei nafuu sana
 
Kwa kweli Tanzania yetu inapendeza sana sisi ndiyo tunauharibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…