Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Ligi Kuu Tanzania bara TPL, kuendelea kutimua vumbi kwa wakati huu wa saa 19.00 usiku, ambapo KMC kutoka wilaya ya Kinondoni, Dar kuwakaribisha Yanga SC katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
kipindi cha kwanza zimeanza huku timu zote zikianza kwa kasi.
10' Kutoka uwanja wa Taifa KMC 0-0 Yanga.
Yanga wanalisakama lango la KMC lakini washambuliaji wanashindwa kutumia vizuri nafasi zao
30' Bado milango ni migumu uwanja wa Taifa
KMC 0-0 Yanga.
Timu zimeshambuliana kwa zamu ambapo Yanga wamefika lango la KMC mara 11 dhidi ya mara 7 ya KMC
45 za kipindi cha kwanza zimekamilika matokeo bila kwa bila
Hakuna kona kwa Yanga SC wala upande wa KMC katika mchezo huu wa TPL.
Mpira umeanza kipindi cha pili, uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
55' Yanga wanakosa bao kwa shuti kali kugonga mwamba
60' Mchezaji wa KMC anakosa bao la wazi ndani ya 18 baada ya shuti lake kupaa juu ya lango.
80' KMC 0-0 Yanga SC uwanja wa Taifa.
87' Yanga wanapata faulo kuelekea lango la KMC
Gooooal gooooal 89' mchezaji Feisal Salum Toto anaipatia Yanga bao la kwanza baada ya free kick yake kwenda moja kwa moja wavuni.
Naaam mpira umekwisha uwanja wa Taifa ambapo Yanga wamefanikiwa kushinda mchezo huo kwa goli hilo moja dhidi ya KMC
KMC 0-1 Yanga
Ghazwat.....Asanteni sana
kipindi cha kwanza zimeanza huku timu zote zikianza kwa kasi.
10' Kutoka uwanja wa Taifa KMC 0-0 Yanga.
Yanga wanalisakama lango la KMC lakini washambuliaji wanashindwa kutumia vizuri nafasi zao
30' Bado milango ni migumu uwanja wa Taifa
KMC 0-0 Yanga.
Timu zimeshambuliana kwa zamu ambapo Yanga wamefika lango la KMC mara 11 dhidi ya mara 7 ya KMC
45 za kipindi cha kwanza zimekamilika matokeo bila kwa bila
Hakuna kona kwa Yanga SC wala upande wa KMC katika mchezo huu wa TPL.
Mpira umeanza kipindi cha pili, uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
55' Yanga wanakosa bao kwa shuti kali kugonga mwamba
60' Mchezaji wa KMC anakosa bao la wazi ndani ya 18 baada ya shuti lake kupaa juu ya lango.
80' KMC 0-0 Yanga SC uwanja wa Taifa.
87' Yanga wanapata faulo kuelekea lango la KMC
Gooooal gooooal 89' mchezaji Feisal Salum Toto anaipatia Yanga bao la kwanza baada ya free kick yake kwenda moja kwa moja wavuni.
Naaam mpira umekwisha uwanja wa Taifa ambapo Yanga wamefanikiwa kushinda mchezo huo kwa goli hilo moja dhidi ya KMC
KMC 0-1 Yanga
Ghazwat.....Asanteni sana